Yuko wapi Bashe na kilimo chake? 'DPWedi' kila wizara!

Yuko wapi Bashe na kilimo chake? 'DPWedi' kila wizara!

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Sakata la bandari limeibua yote nyuma ya mipango ya rais na waarabu. Bandari waarabu, Ngorongoro waarabu, na BBT ya bashe waarabu.

Wakati tunapinga mipango ya Bashe kwa kuacha mipango ya wizara wengine walimuona ni star, ana maono kumbe yote hiyo ni mbwembwe kuwafurahisha waarabu ambao ndo waliowinda kuwa ndo wakulima wwakubwa kwenye miradi ya Wizara. Hawa vijana kama tulivyoambiwa Bungeni, Kazi yao ilikuwa ni kumsaidia mwarabu mwekezaji.

Mzimu wa bandari umefumuka na Ngorongoro haibebeki, naona hata BBT ya Bashe imebuma. Yako wapi hayo mashamba? Uko wapi wewe Bashe usimulie hicho kilimo cha Dodoma?
 
Sakata la bandari limeibua yote nyuma ya mipango ya rais na waarabu. Bandari waarabu, Ngorongoro waarabu, na BBT ya bashe waarabu.

Wakati tunapinga mipango ya Bashe kwa kuacha mipango ya wizara wengine walimuona ni star, ana maono kumbe yote hiyo ni mbwembwe kuwafurahisha waarabu ambao ndo waliowinda kuwa ndo wakulima wwakubwa kwenye miradi ya Wizara. Hawa vijana kama tulivyoambiwa Bungeni, Kazi yao ilikuwa ni kumsaidia mwarabu mwekezaji.

Mzimu wa bandari umefumuka na Ngorongoro haibebeki, naona hata BBT ya Bashe imebuma. Yako wapi hayo mashamba? Uko wapi wewe Bashe usimulie hicho kilimo cha Dodoma?
Ngoja tumsubiri labda atajibu si punde!!
 
Sakata la bandari limeibua yote nyuma ya mipango ya rais na waarabu. Bandari waarabu, Ngorongoro waarabu, na BBT ya bashe waarabu.

Wakati tunapinga mipango ya Bashe kwa kuacha mipango ya wizara wengine walimuona ni star, ana maono kumbe yote hiyo ni mbwembwe kuwafurahisha waarabu ambao ndo waliowinda kuwa ndo wakulima wwakubwa kwenye miradi ya Wizara. Hawa vijana kama tulivyoambiwa Bungeni, Kazi yao ilikuwa ni kumsaidia mwarabu mwekezaji.

Mzimu wa bandari umefumuka na Ngorongoro haibebeki, naona hata BBT ya Bashe imebuma. Yako wapi hayo mashamba? Uko wapi wewe Bashe usimulie hicho kilimo cha Dodoma?
Subiri anapata Lunch

Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
 
Sakata la bandari limeibua yote nyuma ya mipango ya rais na waarabu. Bandari waarabu, Ngorongoro waarabu, na BBT ya bashe waarabu.

Wakati tunapinga mipango ya Bashe kwa kuacha mipango ya wizara wengine walimuona ni star, ana maono kumbe yote hiyo ni mbwembwe kuwafurahisha waarabu ambao ndo waliowinda kuwa ndo wakulima wwakubwa kwenye miradi ya Wizara. Hawa vijana kama tulivyoambiwa Bungeni, Kazi yao ilikuwa ni kumsaidia mwarabu mwekezaji.

Mzimu wa bandari umefumuka na Ngorongoro haibebeki, naona hata BBT ya Bashe imebuma. Yako wapi hayo mashamba? Uko wapi wewe Bashe usimulie hicho kilimo cha Dodoma?
Aloooooooo
 
Sakata la bandari limeibua yote nyuma ya mipango ya rais na waarabu. Bandari waarabu, Ngorongoro waarabu, na BBT ya bashe waarabu.

Wakati tunapinga mipango ya Bashe kwa kuacha mipango ya wizara wengine walimuona ni star, ana maono kumbe yote hiyo ni mbwembwe kuwafurahisha waarabu ambao ndo waliowinda kuwa ndo wakulima wwakubwa kwenye miradi ya Wizara. Hawa vijana kama tulivyoambiwa Bungeni, Kazi yao ilikuwa ni kumsaidia mwarabu mwekezaji.

Mzimu wa bandari umefumuka na Ngorongoro haibebeki, naona hata BBT ya Bashe imebuma. Yako wapi hayo mashamba? Uko wapi wewe Bashe usimulie hicho kilimo cha Dodoma?
Mbona umesahau bwawa la nyerere?
 
Alitaka awape waarabu mahekari ya ardhi kwa kuwadanganya vijana

Waarabu walishaanza kukatia maeneo

Hivi mtu km huyu anakuwaje waziri?
Hii nchi haijawahi kupona kichaa chake cha mwendawazimu
 
Kuna muda natafakari natamani kubadili uraia nihamie babeli maana kila nikiskuti unasikia habari nzito ila upo na mashaka ya hatma yako yaani sielewi tunaeleka wapi?
 
Kuna muda natafakari natamani kubadili uraia nihamie babeli maana kila nikiskuti unasikia habari nzito ila upo na mashaka ya hatma yako yaani sielewi tunaeleka wapi?
Tunaelelea huko huko
 
Sakata la bandari limeibua yote nyuma ya mipango ya rais na waarabu. Bandari waarabu, Ngorongoro waarabu, na BBT ya bashe waarabu.

Wakati tunapinga mipango ya Bashe kwa kuacha mipango ya wizara wengine walimuona ni star, ana maono kumbe yote hiyo ni mbwembwe kuwafurahisha waarabu ambao ndo waliowinda kuwa ndo wakulima wwakubwa kwenye miradi ya Wizara. Hawa vijana kama tulivyoambiwa Bungeni, Kazi yao ilikuwa ni kumsaidia mwarabu mwekezaji.

Mzimu wa bandari umefumuka na Ngorongoro haibebeki, naona hata BBT ya Bashe imebuma. Yako wapi hayo mashamba? Uko wapi wewe Bashe usimulie hicho kilimo cha Dodoma?
Mbona mashamba yapo, yanafanyiwa usafi ili shughuli za kilimo zianze
 
Mbona mashamba yapo, yanafanyiwa usafi ili shughuli za kilimo zianze
Karibuni nimesikia ni ufugaji wa majongoo bahari. Labda hiyo. Mashamba ya BBT Dodoma! Umwagilie kwa maji ya bwawa Dodoma!
 
Back
Top Bottom