Yuko wapi Bilionea Yusuf Manji?

Yuko wapi Bilionea Yusuf Manji?

Yes this is true, for auditing purposes lazima books of account ziwe clean kuonyesha cash flow. Kuna wafanya biashara wengi wametajirika kwa fedha za 'sembe', lazima ukope bank kuonyesha sources of funds, kisha unazichomekea kurejesha mkopo huku vitabu vikionyesha cash flow ya unatengeneza faida.

Ukiangalia investment ya uwekezaji uliofanyika Azam TV na Chamazi na vile viwanda, sio pesa za Ice Cream!.
P
Unamaanisha bakhressa anauza sembe pia?
 
Back
Top Bottom