Yuko wapi Emmanuel Buhohela?

Yuko wapi Emmanuel Buhohela?

Moja ya watangazaji wenye uwezo mkubwa ni Emmanuel buhohela wa itv.alikuwa akimudu vema kipindi cha dakika 45.na katika kampeni za uraisi octoba alikuwa akiambatana na rais magufuli wakati wa kampeni.lakini Mara baada ya kampeni kuisha hasikiki tena.je yuko wapi kwa sasa?
tupo nae hapa ikulu tunakula bata..
 
Back
Top Bottom