Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
ProfesaaWakuu ni takribani miezi minne sasa sijaona Tena machapisho mapya ya the story book kutoka kwa msimuliaji huyo nguli na pendwa vp kwani Nini kimejiri uko jikoni.
Mwenye za ndani zozote atujuze tafadhali tatizo ni nini.
Sizani angetujuza mwamba yupo au alitaka ku outshine his bosses ngoja wajuvi wajeProfesaa
Yupo kwny jengo la freemason USA si alituahd ataendaukoo
KaribuNimevuta kiti
Haha mwaga tu mchele uoJamal Mustafa ngoja nikae kimya atanijua Bure
Usituangushe mkuuJamal Mustafa ngoja nikae kimya atanijua Bure
Tupe kidogo mkuu hata kwa codeJamal Mustafa ngoja nikae kimya atanijua Bure
Mwezi mtukufu huuTupe kidogo mkuu hata kwa code
Si unatuambia ukweli mkuu na ukweli si dhambiMwezi mtukufu huu
Muongo kishenzi yule jamaa.Jamaa ni Mwongoo[emoji23]
Ila aliwakamata watu wa uswazii...wale wale wanaokamatwa kwny movies za kutafsiriwa [emoji23]Muongo kishenzi yule jamaa.
Vijana wa vijiweniIla aliwakamata watu wa uswazii...wale wale wanaokamatwa kwny movies za kutafsiriwa [emoji23]
Last time alikuja na idea tofauti na kama nilimuelewa vizur akitaka kuachana na Story book aje na kitu kingine! Nahisi aliona story book mmeanza kuichokaWakuu, ni takribani miezi minne sasa sijaona tena machapisho mapya ya The Story Book kutoka kwa msimuliaji huyo nguli na pendwa. Vipi kwani, nini kimejiri huko jikoni?
Mwenye za ndani zozote atujuze tatizo ni nini tafadhali.