Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

Wakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.

Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.

C92CBEF4-5F11-4D3B-8AD6-75F8226C6CA9.jpeg
 
Dr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.

Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.

Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!

Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
 
Dr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.

Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.

Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!

Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Anavuna alichopanda,ni kama Tunzo

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mithali 30:

21 Kwa ajili ya mambo matatu nchi hutetemeka, Naam, kwa ajili ya manne haiwezi kuvumilia,

22 Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;

23 Mwanamke mwenye kuchukiza aolewapo; Na mjakazi aliye mrithi wa bibi yake.
 
Yule sidhani kama atakuja kurudi katika hali yake ya kawaida. Mtu aliyefikia hatua ya kutishia kumfukuza kazi Waziri na Msajili wa vyama akiwa KM wa chama na kupanda hadi kuwa KMK leo kujikuta yuko bungeni bila jimbo anapitia sonona iliyoenda shule.
 
Dr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.

Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.

Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!

Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Acha tu mkuu
 
Anaona aibu na anajuta kukubali uteuzi wa kuwa katibu mkuu wa CCM na hatimaye kuwa katibu mkuu kiongozi aliyehudumu kwa mwezi mmoja na siku kadhaa kwa aibu anayojisikia naamini anatamani hata dunia mwisho wake ufike haraka.
 
Back
Top Bottom