Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For sure.Ila kifo Cha Magufuli kimetufunza mengi
Walishi kwa kumtegemea binadamu,hawakujua binadamu anatakiwa amtegemee Mungu.Wakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Yaani bado ana wenge la kutoamini....alishaona yeye next President akawa hamtaki SSH wasigine Katiba qibu sana uchu wa madaraka wanajifanya wazalendo mavi hao kidogo tu true color ikaonekanaHivi Bungeni anajisikiaje yeye na polepole
Mbona yeye alimbrackmail kinanw malipo ni hapa hapaDr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.
Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.
Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!
Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Haitamsaidia kwa Tanganyika hii ninayoijua .Anaandaa ripoti ya kifo cha JPM , anayajua mengi atatuambia 2025
Kwanini Bashiru haeshimiki kama Kinana na MakambaAnaona aibu na anajuta kukubali uteuzi wa kuwa katibu mkuu wa CCM na hatimaye kuwa katibu mkuu kiongozi aliyehudumu kwa mwezi mmoja na siku kadhaa kwa aibu anayojisikia naamini anatamani hata dunia mwisho wake ufike haraka.
Haaa jamaa alidhani yeye ndo aongoze inchi[emoji1][emoji1]Yaani bado ana wenge la kutoamini....alishaona yeye next President akawa hamtaki SSH wasigine Katiba qibu sana uchu wa madaraka wanajifanya wazalendo mavi hao kidogo tu true color ikaonekana
Wakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Alistaafu lini...!!Wakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Wakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Yeah ndio alikuwa ana dictate wafanye interim commitee yeye ndio awe rais wa mpito hadi uchaguzi baada mwaka 1....njaa mbaya sana heti afunge domo akija kuropoka watamchafua hatarudia tena....yule ndio alimpangia SSH aende Tanga ili akijua mwendazake ameshatangulia ilawa siri na wakachota pesa za matibabu kujifanya bado mzima......ipo siku tutajua yote na umma utaelewa mabaya yote aliofanya mxalendo huyooo hahahhahHaaa jamaa alidhani yeye ndo aongoze inchi[emoji1][emoji1]