Akina Nigrastrata na CM17018 Huwezi kuwaona kwenye hii nyuzi na akina JesueWakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akina Nigrastrata na CM17018 Huwezi kuwaona kwenye hii nyuzi na akina JesueWakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
🤣🤣🤣duhSa hivi kakonda hadi ile barakashia haikai tena kichwani imeonekana kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu jitahidi kuishi na watu vizuri hata kama unawazidi madaraka na kipato maana hakuna anayeijua kesho yake.Sa hivi kakonda hadi ile barakashia haikai tena kichwani imeonekana kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Malipo ni hapa hapa duniani tuNasikia kwa sasa ni mgonjwa wa Sonona, kuna hospitali fulani hapo Dar huwa anafika mara kwa mara kupatiwa tiba za kisaikolojia. Ni miongoni mwa watu wenye hatari kubwa ya kujiua asiposaidiwa vyema na haraka.
Kabisa nakaziaNdugu yangu jitahidi kuishi na watu vizuri hata kama unawazidi madaraka na kipato maana hakuna anayeijua kesho yake.
Aminia mkubwa
Wakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
AlistaafishwA kwa maana hiyo ni mstaafuAlistaafu lini...!!
Timu Gaidi ndiyo hawampendi aliwanyoosha mpk Leo wanapga miayo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kipindi yuko Jamaa yake na Mama yealiamua kumdharau Mama waziwazi, angemheshimu hata kinafiki tu lakini hakuweza hilo. Ule msemo wa "Sponsor Hufa" nduo unaomtafuna sasa, yeye na mwenzie Bw. Polepole.Dr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.
Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.
Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!
Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Wakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
Alistaafu lini ?Wakuu huyu Mweshimiwa amekua kimya Sana.
Yupo wapi Katibu mkuu kiongozi mstaafu Dk.Bashiru.
na Akina ElitwegeDefine Bashiru :-
Bashiru is the loneliest creature ever inhabited the earth.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nasikia kwa sasa ni mgonjwa wa Sonona, kuna hospitali fulani hapo Dar huwa anafika mara kwa mara kupatiwa tiba za kisaikolojia. Ni miongoni mwa watu wenye hatari kubwa ya kujiua asiposaidiwa vyema na haraka.