Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

Yuko wapi Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Dkt. Bashiru Ally?

CCM wamemkaanga ...baada ya kutaka kuzua balaa baada ya kifo cha mwendazake.

Huyo kashasahaulika katika siasa za CCM.
 
Dr. Bashiru bado moyo wake unaumia kufuatia kifo cha godfather wake.

Kumbuka Dr. huyu alikuwa analindwa kwa cheo chake cha ukatibu mkuu kiongozi.

Alikuwa na sauti pamoja na maandishi yenye maamuzi. Lkn sasa Dr.Bashiru anatemewa mbovu na Silinde. What a humiliation to him!

Ndiyo maana moyo wake unabubujika hasira na huzuni.
Kipindi yuko Jamaa yake na Mama yealiamua kumdharau Mama waziwazi, angemheshimu hata kinafiki tu lakini hakuweza hilo. Ule msemo wa "Sponsor Hufa" nduo unaomtafuna sasa, yeye na mwenzie Bw. Polepole.
 
ila katika watu ambao wamepitia wakati mgumu ni pamoja na bashri...mzee aligusa nafasi nyeti za serikal ndani ya muda mfupi baada ya hapo akastaafu mapema kama makonda..kwel tubakize akiba ya maneno sponsa ufariki
Acha tu
 
Nasikia kwa sasa ni mgonjwa wa Sonona, kuna hospitali fulani hapo Dar huwa anafika mara kwa mara kupatiwa tiba za kisaikolojia. Ni miongoni mwa watu wenye hatari kubwa ya kujiua asiposaidiwa vyema na haraka.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kwa sasa kisaikolojia nahisi hayupo vizuri,hakuwa mwanachama kindakinda,hakufahamika na hakua na nguvu kabla ya uteuzi wake. Sasa anahuzuni kwa kuwa aliibuka na ghafla yupo chini😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom