Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

Mkuu nakuelewa sana sana, thats love.
 
Nishajaribu kununua malaya twice..tena zile safi ila kila ikifika mda wa kuipanga iibuke nafsi inasita naghairi
Mimi nimepiga idadi haihesabiki ila sasahiv nimeacha maana nilisoma sehem wakasema kununua malaya inafiki kipindi unapata addiction unaweza ukaoa na bado ukawa unatafuta malaya.
 
Kwa hivi visa unaonekana ni mrembo kuliko hata Chris Brown maana watoto wanajigonga sana kwako mzee
 
Nakumbuka wakati nipo college binti mmoja alinipenda sana, nikapotezea, katika mazingira mabaya akanitega, nikajaa akanipa pachu, Kwa kuwa sikuwa indeep naye, tulilala bila pasipo kubanjuka, mashine niliikazimisha, lkn baadae nikagairi.

Wa pili ni mmasai, alinipendea bodi langu, Pana mwanamke anakupenda unajua anakupenda kitu flan. Nikaishia kumtomasa tuu. Japo ni binge la wife material lkn mm nimetembea Sana duniani, nawajua Kuna wife material nyie achen tu. Kuna mwanamke namheshm na sijawahi kumuambia, nampenda japo Huwa ananiudhig Sana yake human error (incomplete ness) lkn this is the woman of my destiny. Sometimes nahofia asiniache I mean kurest kabla Yang na Huwa amwambaiaga nitatangulia before. Yule binti mchagga ni English lady, anaumbo English,and she's English, mchagga mpole na anahasira Sana. Siku anaweza akakuua, nilimiacha baada ya kummegua goti. Nikaona nimemdhaliliahansana. Ataniumiza Kwa kitendo Cha kishwaitan. Sikupenda kumtenda. Lkn alitendeka

Mwisho ndio kasheshe.huyu mtoto alinipendea Sana Sana no matter what. Ni mchagga alipendea mawe.

Lkn nikaishia kummwaga. Aliolewa na anamasiha yake
 
Mkuu hii paragraph ya pili ina point nzito sana. Wakuelewe tu. Unafaq kuwa Mchngaji.
 
Aisee, hiv sababu ni nini kumkataa kabisa. Ukiachlia mambo ya kutomkubali
 
Daaa la Roca kawe bar ya wanajeshi hiyo mkuu, kapime ngoma maana huyo demu kauza sana k kwa wajeda
 
Ni mume wa mtu sasa na tunawasiliana kama normal friends.
Dah maisha haya...ni kaka mmoja alitokea kunipenda sanaaaa tukiwa chuo,akafika mpaka kwetu ila mimi sikumpenda na sikuwa na hisia nae kabisa japo hakukataga tamaa almost 4 years ananisubiri niseme yes.
Now ana familia na maisha matamu sanaaaaaaa na sijutii kumkataa(kuishi na mtu usiyempenda wala kumfeel mpaka nakuwa bibi kizee niliona ni dhambi kubwa)
 
Jamii forum nadhan hakuna asiyefika advance....

Hongera saana
 
Jamii forum nadhan hakuna asiyefika advance....

Hongera saana
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€Daah ila mwanamke akikupenda amekupenda mimi wengi sana walishanipenda ila kuna mhaya alinipenda sana lakini nikaishia kumtenda hadi leo najihukumu sanaa...
 
Haya ni mapito katika Maisha anaweza akakupiga chini kesho akawa msaada kwako ktk ofisi fulani. Muhimu kuishi na wapenzi vizuri kuachana sio mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…