Yuko wapi Mkali wa "Imekaa Vibaya" Msanii Kali P?

naunga mkono hoja maana kuna wakali kama university corner, man X, H-mbizo, O-ten hawa watu sijui wapo wap
Man X tupo nae keko anauza furniture mkuu baba yake mtu mkubwa sana katika field ya furniture anaitwa Kushaba r.i.p uyo mzee tumemzika mwaka jana sasa ivi Man X ndo anasimamia biashara ya furniture.
 
Man X tupo nae keko anauza furniture mkuu baba yake mtu mkubwa sana katika field ya furniture anaitwa Kushaba r.i.p uyo mzee tumemzika mwaka jana sasa ivi Man X ndo anasimamia biashara ya furniture.

mpe pole kwa kuondokewa na mzee wake
 
Bila kumsahau Solo Thang "homa ya dunia"
Jaymo "stori tatu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…