Yuko wapi msanii "Mtunis"?

Kuna Tamthilia ilikuwa inaoneshwa azamtv inaitwa ndoano alikuwa kama main character ya mwaka huu huu
 
Reactions: ABJ
nakumbuka alihojiwa kipindi cha nyuma akaulizwa kuhusu maisha akasema ana nyumba kali anajenga lakini pia ni baba wa watoto wawili na ana supermarket mjini dsm hapa.

sema rafudhi yake ilikuwa kama ya watoto wanaosomea IST[emoji23][emoji23][emoji23].
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aende upanga atamkuta amejaa telee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu nyie, uwiiiiih
 
Sio anapenda ni limarioo liliokubuhu mjini...afu huwa ana lafudhi ya kikongo sidhani kama ni mtanzania yule..

Pauline Zongo maisha yake yameharibika kwa ajili ya yule jamaa asee
Wanawake wa mjini si wanapendaga wauza sura

Ova
 
Mara ya mwisho nilisikia yupo Ukraine, sasa umepita kama mwezi mmoja hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…