Yuko wapi msanii "Mtunis"?

nakumbuka alihojiwa kipindi cha nyuma akaulizwa kuhusu maisha akasema ana nyumba kali anajenga lakini pia ni baba wa watoto wawili na ana supermarket mjini dsm hapa.

sema rafudhi yake ilikuwa kama ya watoto wanaosomea IST[emoji23][emoji23][emoji23].
Mzinguaji tu huyo hana nyumba yoyote amerudisha mpira kwa kipa amerudi kwao, kwao ni mbagala charambe magengeni,kutwa nzima anashinda kibarazani anapiga guitar.
 
Ubishoo wote ule kumbe mganga
 
Copy huo uzi then uupaste hapa tuusome [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…