Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Mzinguaji tu huyo hana nyumba yoyote amerudisha mpira kwa kipa amerudi kwao, kwao ni mbagala charambe magengeni,kutwa nzima anashinda kibarazani anapiga guitar.nakumbuka alihojiwa kipindi cha nyuma akaulizwa kuhusu maisha akasema ana nyumba kali anajenga lakini pia ni baba wa watoto wawili na ana supermarket mjini dsm hapa.
sema rafudhi yake ilikuwa kama ya watoto wanaosomea IST[emoji23][emoji23][emoji23].
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unaona vizuri vile mjamaa
Nakujaa. [emoji6][emoji6]Njoo wasap[emoji3059]
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] weraaaaaaah.Jinga Sana wewe nime kufa mbavu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] sasa nawee kweli umeshindwa kuwatambua?Unawajua majina hao waliotwaja ? Maana nimetoka kapa
Ubishoo wote ule kumbe mgangaHuyu msanii jina lake halisi silijui ila alikuwa na heka heka sana enzi hizo. Mara ya mwisho alikuwa anaishi Sinza kwa jimama moja kama marioo na alimfukuza kwake baada ya kufilisi duka alilomuachia.
Huyu msanii alikuwa muongo sana na mjivuni kuna interview yake moja pale Channel Ten alidai yeye alisomea masuala ya utengenezaji wa ndege kule South Africa.
Je huyu msanii yuko wapi kwa sasa au amerudia kazi yake ya uganga wa kienyeji.
Hayumo mleKuna Tamthilia ilikuwa inaoneshwa azamtv inaitwa ndoano alikuwa kama main character ya mwaka huu huu
Nimeshindwa ndio uniambie[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] sasa nawee kweli umeshindwa kuwatambua?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah.Nimeshindwa ndio uniambie
Nijue ni nani huyo anayekula papuchi tofauti tofauti kama dozi ya vidonge mara tatu kwa siku aisee
Kasomea kufilisi mishangazi ya mjiniKwa hiyo kusema kasomea kutengeneza Ndege ndio uongo? sasa wewe si ndio ungetuambia ukweli ni upi kama yeye ni muongo?.
Mganga njaaUbishoo wote ule kumbe mganga
Nini sasa si useme na wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa ni kidampa tu sema watoto wakike wanapagwa na ule muonekano wake wa kulamba lamba lips kama Ben Kinyaiya
Yumo aliact anauza dukaHayumo mle
Hahahah dah sijui Nani mzima hapa mjini *****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] watu walishapita na anuani ya makazi kitambooooo.
Ben yupo bongo some two weeks ago nilimuona anarembua macho pale Gentleman sinza. Yule ni kadadaaWaulize marioo wenzake kina ben kinyainya labda yuko dubenga kaolewa
Copy huo uzi then uupaste hapa tuusome [emoji23]kuna mmoja pia alikuwa msanii wa bongo muvi mweupe hivi kakaa kiupole sana..
naskia alikuwa anabadili demu kwa siku mara 3 km dozi ya asprini (sorry mzee asprin).
hadi mwenyekiti wa mtaa na balozi waliitwa na mwenyenyumba waje kumuonya!!simkumbuki jina ila uzi wake uko humu niliusoma.
na yule jamaa mwingine jina lake la kitajiri kila guest huko daslam walikuwa hawataki kumkodishia room sbb alikuwa anazichafua kwa majitaka ya mtaroni.
Kwahiyo kaolewa [emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] watu walishapita na anuani ya makazi kitambooooo.