Ajipodoi ila ana rangi kama ya shombe shombe fulani hivi ingawa mmakonde, tulikua tunamuita muddy bishoo kitambo iko shule ya msingi mtoni kwa mama maryAnajipodoa sana yule bwege itakuwa amefichwa na wamama au mwarabu mmoja kampeleka Dubai maana ndio mambo yao siku hizi.
Ukisikia mtu analelewa na jomama ovopa sana wengi huwa mapunga wwnauzwa na wale wamama sema anajifanya yule mama ndio mtunwake ili kuficha ungese wao.
Mwenzao yupi,kinyaiya au?Jamaa kafanya umarioo mpk kawa used Hahaha
Mwenzao naona alipopata ile sehem kangangania kama ruba
Ova
Umri ule anarudi kwao?patheticMzinguaji tu huyo hana nyumba yoyote amerudisha mpira kwa kipa amerudi kwao, kwao ni mbagala charambe magengeni,kutwa nzima anashinda kibarazani anapiga guitar.
Huyo hapoWekeni picha tumkumbuke huyo shoga
Ben mbna yuko sana, si ana act ktk tamthilia ya HUBA.Ben yupo bongo some two weeks ago nilimuona anarembua macho pale Gentleman sinza. Yule ni kadadaa
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] wapo wazima.Hahahah dah sijui Nani mzima hapa mjini *****
Hapana, alipangishwa, baada ya kuachwa ndo yuko huko kigas.Kwahiyo kaolewa [emoji848][emoji848]
Mara kigas,mara mbagala.usahihi ni upi?Hapana, alipangishwa, baada ya kuachwa ndo yuko huko kigas.
Hawa wasanii wana fake maisha ila kiuhalisia ni tofauti tunavyodhani.Umri ule anarudi kwao?pathetic
Nice Mohamed,Huyo hapo
Mie najua alikuaga upanga wakat fulan, ndo nashangaa naambiwa yuko huko kigas, na mbagala tena kwa nan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara kigas,mara mbagala.usahihi ni upi?
Ha ha ha..so anagombania maandazi na wadogo zake hapo kwao?Hawa wasanii wana fake maisha ila kiuhalisia ni tofauti tunavyodhani.
Pesa Wanapata ila zinaishia kwenye starehe kama huyu mtunis alipata mgao wa urithi wa nyumba mbagala maji matitu matokeo yake nyumba aliuza na pesa amemaliza amerudi kwa mama yake,rafiki yake mkubwa ni mwingizaji mwenzake tino
Wambea wanasema karudisha mpira kwa kipa.Mie najua alikuaga upanga wakat fulan, ndo nashangaa naambiwa yuko huko kigas, na mbagala tena kwa nan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujui kuwa mjini kuna yard zinakodisha magari?Nice Mohamed,
Huyu kuna kipindi alikua anasukuma Alphard. Sijui kaipeleka wapi lol.
Anaepaka mkorogo ni Tino jamaa movie za zaman alikua black Ila movie zilizofata akaanza kuwa Mweupe balaa na nywele za kiarabuAjipodoi ila ana rangi kama ya shombe shombe fulani hivi ingawa mmakonde, tulikua tunamuita muddy bishoo kitambo iko shule ya msingi mtoni kwa mama mary
Huyu arudishe mpira kwa kipa na uzee wote huu? Tatizo u marioo. Then ndo akapangishwa hapo Upanga, baada ya kuachwa ndo karud huko kwao lol.Wambea wanasema karudisha mpira kwa kipa.
Kheeeh hili geni kwangu bas.Hujui kuwa mjini kuna yard zinakodisha magari?
Yeah nilikuwa namjibu mtu hapo alisema yupo dubaiBen mbna yuko sana, si ana act ktk tamthilia ya HUBA.
Oooh hapo sawa.Yeah nilikuwa namjibu mtu hapo alisema yupo dubai