Yuko wapi msanii "Mtunis"?

Huyu arudishe mpira kwa kipa na uzee wote huu? Tatizo u marioo. Then ndo akapangishwa hapo Upanga, baada ya kuachwa ndo karud huko kwao lol.
Ila wanawavuaga pichu bure madem
Ila wengine wakiwataka madem hao
Wanawapiga invoice,madem wa kbngo F kabsa

Ova
 
"Muda wote wako pamoja kama bata"
...........
 
Huyu Tino nmeishi nae jirani kigamboni miaka ya 2011
 
Msweden unamdiss mtunis
 
Mwana inaelekea una hasira naye kwelikweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alikuwa anauza kiduka cha nguo pale sinza baadae akawa mganga wa kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…