Yuko wapi msanii "Mtunis"?

Yuko wapi msanii "Mtunis"?

Huyu arudishe mpira kwa kipa na uzee wote huu? Tatizo u marioo. Then ndo akapangishwa hapo Upanga, baada ya kuachwa ndo karud huko kwao lol.
Ila wanawavuaga pichu bure madem
Ila wengine wakiwataka madem hao
Wanawapiga invoice,madem wa kbngo F kabsa

Ova
 
Hawa wasanii wana fake maisha ila kiuhalisia ni tofauti tunavyodhani.
Pesa Wanapata ila zinaishia kwenye starehe kama huyu mtunis alipata mgao wa urithi wa nyumba mbagala maji matitu matokeo yake nyumba aliuza na pesa amemaliza amerudi kwa mama yake,rafiki yake mkubwa ni mwingizaji mwenzake tino muda wote wako pamoja Kama bata
"Muda wote wako pamoja kama bata"
...........
 
Hawa wasanii wana fake maisha ila kiuhalisia ni tofauti tunavyodhani.
Pesa Wanapata ila zinaishia kwenye starehe kama huyu mtunis alipata mgao wa urithi wa nyumba mbagala maji matitu matokeo yake nyumba aliuza na pesa amemaliza amerudi kwa mama yake,rafiki yake mkubwa ni mwingizaji mwenzake tino muda wote wako pamoja Kama bata
Huyu Tino nmeishi nae jirani kigamboni miaka ya 2011
 
Hawa wasanii wana fake maisha ila kiuhalisia ni tofauti tunavyodhani.
Pesa Wanapata ila zinaishia kwenye starehe kama huyu mtunis alipata mgao wa urithi wa nyumba mbagala maji matitu matokeo yake nyumba aliuza na pesa amemaliza amerudi kwa mama yake,rafiki yake mkubwa ni mwingizaji mwenzake tino muda wote wako pamoja Kama bata
Msweden unamdiss mtunis
 
Huyu msanii jina lake halisi silijui ila alikuwa na heka heka sana enzi hizo. Mara ya mwisho alikuwa anaishi Sinza kwa jimama moja kama marioo na alimfukuza kwake baada ya kufilisi duka alilomuachia.

Huyu msanii alikuwa muongo sana na mjivuni kuna interview yake moja pale Channel Ten alidai yeye alisomea masuala ya utengenezaji wa ndege kule South Africa.

Je huyu msanii yuko wapi kwa sasa au amerudia kazi yake ya uganga wa kienyeji.
Mwana inaelekea una hasira naye kwelikweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hawa wasanii wana fake maisha ila kiuhalisia ni tofauti tunavyodhani.
Pesa Wanapata ila zinaishia kwenye starehe kama huyu mtunis alipata mgao wa urithi wa nyumba mbagala maji matitu matokeo yake nyumba aliuza na pesa amemaliza amerudi kwa mama yake,rafiki yake mkubwa ni mwingizaji mwenzake tino muda wote wako pamoja Kama bata
Alikuwa anauza kiduka cha nguo pale sinza baadae akawa mganga wa kienyeji
 
Back
Top Bottom