Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
3rd wave....
Tujiandae
Tujiandae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda NYUMBANI kwake ukawaulize.Au katiba inakukataza?Nauliza ili kujua juu ya mzee wetu, gwiji wa siasa za bongo. Una habari zake?
Yuko marekani ana drain sumu mwiliniWakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana. Yuko wapi?
Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo? Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.
Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
TUSKERYupo busy na ile biashara yake ya siku zote, pale Tarangire wale jamaa wamepungua sn
Nilimwona siku ya AlhamisiWakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana. Yuko wapi?
Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo? Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.
Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
SawaNilimwona siku ya Alhamisi
11/05/2023.
Tukapiga na story mbili tatu.
Sumu ya nini bwashee 😳😳Yuko marekani ana drain sumu mwilini
Nasubiri katiba mpya itatoa uhuru zaidiNenda NYUMBANI kwake ukawaulize.Au katiba inakukataza?
Mbona da Ummy hajatutangazia?Nasikia Dar kuna korona?
Anasoma upepo za bi Mkubwa, kesho nakuja Dar ila nina mawazo sana ,🤣🤣🤣🤣Mbona da Ummy hajatutangazia?
Hatuhusu atajua yeye na kundi lake labda Yuko mbugani anawashugulikia ndovuuuWakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana. Yuko wapi?
Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo? Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.
Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
Ameuliza hakuwepo kwenye msiba wa swahiba wake Membe"Yupo fiti ofisini anachapa kazi,ulitaka azurure kariakoo?"alisikika mlevi mmoja
Unataka kusemaje?Wakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana. Yuko wapi?
Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo? Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.
Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
Ameuliza hakuwepo kwenye msiba wa swahiba wake Membe
Kwani pale kwenye msiba ni kariakoo
Dar ni kariakoo na kariakoo ni dar so kareemjee ni kariakoo.finitoAmeuliza hakuwepo kwenye msiba wa swahiba wake Membe
Kwani pale kwenye msiba ni kariakoo
Nimesema kila nilichotaka kusema kwenye post!Unataka kusemaje?