Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mdunguaji hafanyi makosa (✓)Chukua kalamu na karatasi utick hilo jina kwenye list
Unaweza ukanitumia hiyo post mkuu?"Justice for TANZANIA mei 2023 in mysterious way" sauti ya nabii mmoja hivi!!
Sijui ndio inaanza kutimia na jamaa akaongeza john Megafuli (MAGUFULI)was a survant of God and was killed so God has listened to the cries of his people in Tanzania!!
JUSTICE FOR TANZANIA
Kwanini umejiita lamentations 😠😠😠 mbona mnamtafutaga Mungu manenoHizi Id kongwe zikija na thread kama hizi lazima tutumie pua zetu vizuri kwenye kunusa.. tupeni vitu wakuuu
Ingia youtube type justice for Tanzania is coming ITAKUJA link mkuu go for it! Tena link ya kwanza KABISA!Unaweza ukanitumia hiyo post mkuu?
Because of the Lord’s great love we are not consumed, for his compassions never fail. His mercies are new every morning; great is your faithfulness. Lamentations 3:22-23Hizi Id kongwe zikija na thread kama hizi lazima tutumie pua zetu vizuri kwenye kunusa.. tupeni vitu wakuuu
Swali lako ilibidi liishie kwanini umejiita lamentations..Kwanini umejiita lamentations 😠😠😠 mbona mnamtafutaga Mungu maneno
Alikuwa amepumzika nyumbani kwake. Over.Wakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana. Yuko wapi?
Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo? Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.
Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
Anawinda nini?Anawinda.
Dokta wa meno ya Ndovu.Anawinda nini?
Kwa sababu, wema hawafiMaswali yamekuwa mengi why?
Wapi, au kule ambako alitumwa na gwiji JPM?.Atakua ametumwa somewhere
ZaidiWapi, au kule ambako alitumwa na gwiji JPM?.
Wewe kweli punga kwa hiyo kareemjee pale wanafanya biashara?Dar ni kariakoo na kariakoo ni dar so kareemjee ni kariakoo.finito
Matusi ya Nini dogo ama umepanic....yes ule ni ukumbi ni sehemu ya biashara au upo chitoholi?Wewe kweli punga kwa hiyo kareemjee pale wanafanya biashara?
Kwani huu ni msiba wa kitaifa mkuu?!Nchi ikipata msiba wa kitaifa ziara zote husitishwa.