barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Alikwambiaje nami nijaribu nitest zali, wewe lazima utakuwa na uhusiano na mod mmoja, jamaa kala ban nzito. Wengine tunakula kula ban ila za wiki kisha tunatolewa kifungoni.Alinitukana ila msijali atarudi tu
sisi au ww?hana umuhim wowote wa sisi kujua alipo
yani kichaa ana umuhimu kwako?sisi au ww?
Kuna s7 unasemaje?Ahahahah utanunua S9 ili upate chura?
Unataka ujaribu kunitukana,jaribu siku moja na wengine wajaribu ukija na nyingine ban tuAlikwambiaje nami nijaribu nitest zali, wewe lazima utakuwa na uhusiano na mod mmoja, jamaa kala ban nzito. Wengine tunakula kula ban ila za wiki kisha tunatolewa kifungoni.
Duh!Unataka ujaribu kunitukana,jaribu siku moja na wengine wajaribu ukija na nyingine ban tu
Tatizo lenu huwa mnatuangalia kwa jicho jepesi jepesi tazamaneni kwa umakini na acheni dharau la sivyo life ban itawahusu
Ahahahahaha ice wangu mimi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi ni shilawadu tuu ila kama nilimuona
Ila wewe mwenzangu CIA ukisema hivo naamini zaidi
Barafu usichukulie seriaz nakutania tu banaDuh!
Okei. Nimeongea kiutani tu hapo ila naona imekutachi sana. Pole kwa tusi alilokuwa kakutusi. Dharau gani hizo mbona una generalize mambo??
Aaayiiiiiiiiiiiii wewe jua kati ya watu wanaonipa furaha hapa duniani nawe umoAyiiiiiii
Hahahaha, am happy
Hapana badilisha hiyo 7 iwe 9Kuna s7 unasemaje?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..huyu mkuu baada ya kumfunguLia uzi Shunie .." Shunie sasa waweza jiita Mr.Genta....Where is the former
Tanzania intelligence officer GENTAMYCINE?
Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer
Nishamkosa chura!Hapana badilisha hiyo 7 iwe 9
Bora ukose tu tafuta chura ndogo ya s7Nishamkosa chura!
[emoji18]Bora ukose tu tafuta chura ndogo ya s7
AiseeeeAaayiiiiiiiiiiiii wewe jua kati ya watu wanaonipa furaha hapa duniani nawe umo
Ney wifi yangu hujuii hilo
Nitumie nafasi hii kuwaulizia akinanami nitumie fursa hii kuwakumbuka wafuatao
swissme
technically
kama hawajatwaliwa na wasio julikana sijui. Maana ukimya wao unatisha
Kwa hiyo ni ruksa kushare mahabaNey wifi yangu hujuii hilo