Yuko wapi Nyani Ngabu?

Status
Not open for further replies.
Ila nyie mnapenda sana kufaidisha watu. Hivi kitu gani hicho msichoacha kugombana? Kuna watu wanawacheka hatari ambavyo mnagombama maana mlikua team moja kuwakaanga. Halafu nin hicho kisichoisha mnakigombania? Acheni utoto bwana yaishe haya.
Walinyonyana damu
 
Nyie watu hamchoki?

Bado mnataka vita iendelee?

Manake hiyo ilikuwa amsha amsha tu....

Semeni suuuuuu
Dina amehitimisha kuwa hata kutaja, yaani ameamua kuacha na kusamehe.
Huyo ndio wa muhimu kumsikiliza.
Wengine sisi hatuna tija. Naomba nawe ufunge file boss
 
hahaha kaweka kaugumu flan kwenu,mpqka tutumie nguvu sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…