Man Fisa hakuwahi kusoma Pomerini, Man Fsa kasoma Lugalo kisha akahamia Njosi...sasa hivi ni Fundi sofaMan Fissa ππππππkitambo sana
Kama sikosei amesoma pommerin secondary enzi hizo ilikua shule ya moto kishenz
Ngoma hii sijui jina lake ila chorus yake ilikuwa tune ya kitoto kinaimba i...i dont feel arlite....mpenzi uko mbaaali...basi rudi mapemaaa...Bila kuweka ngoma za Yaki hujautendea haki uzi wako..
Lilikuwa maarufu kwasababu watoto wa Poms wengi ni wahuni wa Iringa town kwahiyo kwavyovyote vile atakuwa alikuwa na washkaji zake hapoBasi nadhani alikua anakuja kwa washkaji zake pale maana hilo jina lilikua maarufu sana pale poms
Hii wengi tunaijua mbona karbia watu wote tunaojuajua kutengeneza beat kugongesha disc moja then ikafuata ya pili ni kawaida tyuDaaa umenikumbusha Waite polisi hili jiwe hatari sana halafu ukisikiliza kwenye earphones Kuna mdundo flani unagonga kwenye sikio moja halafu unaunganisha masikio yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii ilikua ni pure talent!
Watakaobisha hili la mziki kugonga earphone ya sikio moja halafu unaunganisha masikio yote wasikilize wimbo wa Addo novemba - utabaki kuwa Mungu alitengeneza huyu mwamba!
Upo sahihi ila ya dar hii nayoijua official amba tayari alishajikita kwenye gospel production.hiyo ya kwanza asante kwa kunijuza..ila mimi nilinukuu maelezo ya interview yakeMkuu hapa nadhani umewapotosha watu....Amba kaenda kaenda Dar kufanya mziki kwa vipindi viwili...kipindi cha kwanza alikuwa chini ya studio ya mtu akakaa huko baadaye akarudi Iringa ndipo akafungua studio ya AB record ambayo ilimilikiwa na Amba pamoja na Ben..baada ya hapo akarudi tena kufanyia shughuri zake Dar ndipo akapotea moja kwamoja karudi kufanya shughuli zake
Alipoanza production ya mziki wa gospelMkuu mbona nilishawahi sikia alihamia dar na studio yake ilikua majumba sita huko dar?
Sina uhakika wa hili lakini
Amba alianza mziki akiwa shuleni, jina lake lilikuwa haswa na watu kumjua alipokuwa Dar, ndipo baadaye akarudi Iringa akafungua AB record akiwa tayari ana jina kubwa alilolijenga akiwa dar...kwahiyo dar alirudi mara ya pili ndo nadhani akajikita zaidi kwenye ofspel kisha karudi Iringa tenaUpo sahihi ila ya dar hii nayoijua official amba tayari alishajikita kwenye gospel production.hiyo ya kwanza asante kwa kunijuza..ila mimi nilinukuu maelezo ya interview yake
Unaweza tupia nyimbo ya yaki?Achana na marlaw kuna wasanii kama
Yaki
E2k
Roby G
Ibu
Ibra nation
Rohosaba
Walikua wanafanya kazi bure.
Amber amewasaidia wengi sana ndio mana anaanza kufanikwa nnje ya mziki
Kuna mwenzio alikua anashoot video anaitwa mecky kaloka
Nakapenda hako kasautiYaki ana ngoma moja kali sana!! Siifahamu jina ila ina kasauti ka kutengeneza na computer kwenye chorus
Hata Pomerin kasomaMan Fisa hakuwahi kusoma Pomerini, Man Fsa kasoma Lugalo kisha akahamia Njosi...sasa hivi ni Fundi sofa
Msimsahau na Kamte
Alikuwa anawarekod Mack unit wa makorongoni
Nas B enz hizo hajawa mtangazaji, alikuwa ni mwalimu wa mapinduzi
Msimsahau Fredy wa Flat Record, siku hiz amekuwa mchungaji
Kama kasoma huko basi labda kama aliharibu Njosi au alikuja kurisiti poms maana kidato cha tano na sita hakuendeleaHata Pomerin kasoma
Alikuwa na mwenzake Man Tosa
Mkuu unawakumbuka Planet2000? Yb Gpop na Fred E? Nilisikia Fred kachoka sana siku hizi kiafya. Afu kuna mtu aliimbaga ile nyimbo ya salima somebody crazy nani cjui hv yupo nae?Msimsahau na Kamte
Alikuwa anawarekod Mack unit wa makorongoni
Nas B enz hizo hajawa mtangazaji, alikuwa ni mwalimu wa mapinduzi
Msimsahau Fredy wa Flat Record, siku hiz amekuwa mchungaji
Planet 2000 wazee wa Hii ndo babkubwaMkuu unawakumbuka Planet2000? Yb Gpop na Fred E? Nilisikia Fred kachoka sana siku hizi kiafya. Afu kuna mtu aliimbaga ile nyimbo ya salima somebody crazy nani cjui hv yupo nae?