Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,065
- 18,358
Wakuu yuko wapi huyu producer amba ambaye kipindi cha nyuma kidogo alikua maarufu sana iringa baadae akaja kuhamia daresalam!
Alitengeneza ngoma za wasanii wengi mfano Album nzima ya Rama D iliyokuwa ina nyimbo kama Kikao cha familia,usihofie, Sara, nk..... Ambao mlibahatika kusikiliza hii album nadhani mtakua mnafahamu vizuri ngoma zilizomo humo ndani japo ilisemakana Rama D hakumlipa hata mia baada ya mauzo ya album(dhamana ilikua uaminifu) na baada ya hapo Rama D hakuwahi kurudi kwenye nafasi yake tena!
Pia alitengeneza ngoma ya Mh. Temba_Maneno nawafunza ukisikiliza hutatilia shaka uwezo wake!
Roho saba-nakupenda hip hop, Man kichefu(huyu nasikia ni mjeda kwasasa)_utanikumbuka....
Na nyingine nyingi za wasanii mbali mbali ambazo wadau mnaomfahamu mnaweza kuongea!
Nafikiri ndie aliyemtengeneza producer Tuddy Thomas ndani ya AB records enzi hizo (ingawa hili sina uhakika nalo sana) ila wamefanya kazi pamoja kipindi hicho Tuddy hajahamia dar....
Karibuni wadau!
Tahadhari:
Wale kizazi cha kina Eyooooo laizzer kaeni mbali na huu uzi
Alitengeneza ngoma za wasanii wengi mfano Album nzima ya Rama D iliyokuwa ina nyimbo kama Kikao cha familia,usihofie, Sara, nk..... Ambao mlibahatika kusikiliza hii album nadhani mtakua mnafahamu vizuri ngoma zilizomo humo ndani japo ilisemakana Rama D hakumlipa hata mia baada ya mauzo ya album(dhamana ilikua uaminifu) na baada ya hapo Rama D hakuwahi kurudi kwenye nafasi yake tena!
Pia alitengeneza ngoma ya Mh. Temba_Maneno nawafunza ukisikiliza hutatilia shaka uwezo wake!
Roho saba-nakupenda hip hop, Man kichefu(huyu nasikia ni mjeda kwasasa)_utanikumbuka....
Na nyingine nyingi za wasanii mbali mbali ambazo wadau mnaomfahamu mnaweza kuongea!
Nafikiri ndie aliyemtengeneza producer Tuddy Thomas ndani ya AB records enzi hizo (ingawa hili sina uhakika nalo sana) ila wamefanya kazi pamoja kipindi hicho Tuddy hajahamia dar....
Karibuni wadau!
Tahadhari:
Wale kizazi cha kina Eyooooo laizzer kaeni mbali na huu uzi