Yuko wapi producer Ambangile Mbwanji maarufu kama Producer Amba?

Yuko wapi producer Ambangile Mbwanji maarufu kama Producer Amba?

Planet 2000 wazee wa Hii ndo babkubwa

Huyo ni Crazy dog,one of the very talented bros,sema Tungi ndo ilimfanya asiwe na ufanis

Inasemekama those days akina Mike Tee,na Zay B wameandikiwa sana lyrics na Crazy dog

Mdogo Crazy dog,Walter yupo hapa town ndo yule male guy aliejaa kwenye matangazo ya "Rud nyumban kumenoga" ya TTCL na anaimba gospel pia


Kuna Peace E,enzi hizo za akina planet 2000 alitamba na kibao cha house boy,akiwa na jamaa mmoja alikuwa bonge hiv,sijui Liz one,or somethn jina simkumbuki vyema
Walter classmates wangu alikua,Peace E wa house boy nadhani ndo Eliya sio Ridhone , Unanikumbusha don bosco na Kleruu mkuu na jiwe gangi[emoji2] [emoji2]
 
Walter classmates wangu alikua,Peace E wa house boy nadhani ndo Eliya sio Ridhone , Unanikumbusha don bosco na Kleruu mkuu na jiwe gangi[emoji2] [emoji2]
Hiv alisoma Lugalo nadhan
 
Dah km ni producer wa ngoma ya "nakupenda sana hip hop" roho saba..... Basi salute sana hii ngoma si mchezo asee.
 
Mkuu mbona nilishawahi sikia alihamia dar na studio yake ilikua majumba sita huko dar?
Sina uhakika wa hili lakini
NI KWELI,
MIAKA YA 2013 - 2015 ALIKUWA DAR,

NA MIMI ALINIREKODIWA TRACK MOJA AMBAYO HUWA NASIKILIZA NA MASELA WANGU KITAA,
INGAWA HAKUIFANYIA MIXING ILA MDUNDO WAKE UKO NJEMA.
 
NI KWELI,
MIAKA YA 2013 - 2015 ALIKUWA DAR,

NA MIMI ALINIREKODIWA TRACK MOJA AMBAYO HUWA NASIKILIZA NA MASELA WANGU KITAA,
INGAWA HAKUIFANYIA MIXING ILA MDUNDO WAKE UKO NJEMA.
Vip hayuko instagram huyu jamaa kweli Amba!!
 
Mshikaji yupo sema, alijikita Katka business nyingne, n jiran yangu kabsa
Mmh,wapi mkuu?!
Coz nimeonana na mkewe juzi kati tu hapa,wapo busy kumtumikia Mungu,ana huduma yule!

Nimesoa nao wote na mkewe sekondary
 
Hahaha hili kundi bwanaa
Mmoja wao nilikuwa nae class moja kabla hajahama
Mkuu unawakumbuka Planet2000? Yb Gpop na Fred E? Nilisikia Fred kachoka sana siku hizi kiafya. Afu kuna mtu aliimbaga ile nyimbo ya salima somebody crazy nani cjui hv yupo nae?
 
Back
Top Bottom