jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Hili vuguvugu sio zuri ki uchumiKwa Hayatolah Napo kuna fukuta ,people are tired
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili vuguvugu sio zuri ki uchumiKwa Hayatolah Napo kuna fukuta ,people are tired
Hii story japo ya kizushi ila ya moto, kama namuona Biden na US wanavyotamani iwe kweli.
sanaaaRais wa china ni mstaarabu hana uhasama mkubwa na west
Waombe sana hii sura isichukue nchi japokuwa haiwezekani ila ikitokea Taiwan kutafuka moshi wa silaha , huyu jamaa anaonekana ni mtu wa kazi😁Jamaa anasura fran hivi
Kweli kabisa Chief, jamaa hanaga majibizano na mtu.Rais wa china ni mstaarabu hana uhasama mkubwa na west
Mchina hawezi kucheza na mmarekani
Bro nimekuwa naenda vietnam ndan ya miaka 2 sasa aisee huwez kuamin kuwa walikuwa na bifu na marekan. Kwasasa hiv hawa jamaa wamewakumbatia wazungu kuliko mchina. Sema walichonishinda ni boda boda. Nyingi Mno pale RangoonComments zako zina ukweli gani?? Yaani Taifa la VietNam lingekuwa ina imani kama hizi, basi taifa hilo lingebaki chini ya utawala wa Merikani daima duni!! Any idea kwa nini majeshi ya Merikani (a super power) yalitimuka unceremonously kutoka VietNam???
Bro nimekuwa naenda vietnam ndan ya miaka 2 sasa aisee huwez kuamin kuwa walikuwa na bifu na marekan. Kwasasa hiv hawa jamaa wamewakumbatia wazungu kuliko mchina. Sema walichonishinda ni boda boda. Nyingi Mno pale Rangoon
Hakuna Hizo Mambo. Wamarekan wamehamia huko wengi sana. Wakat ule wa vita wamarekan waliwazalisha sana kuna machotara wengi kweliVipi sembe inabebeka?
Xing nimiongoni mwa viongozi wenye busara Sana binafsi na support maa mzi yake kuhusu taiwani dhidi ya marekaniView attachment 2366778
Xi Jinping huenda kaondolewa kwenye wadhifa wa Mwenyekiti wa Tume ya Kijeshi chini ya kivuli cha mapinduzi ya Kijeshi. Inasemekana kuwa Xi kapinduliwa kijeshi.
Vikosi maalum vya PLA vimekusanyika katika uwanja wa ndege wa Jeshi wa Shenyang chini ya amri ya Li Qiaoming. Xi
Hakuwepo katika semina ya Ulinzi wa Kitaifa na Mageuzi ya Kijeshi iliyofanyika Beijing Septemba 21 baada ya kurejea haraka kutoka kwenye mkutano wa SCO.
Kutokuwepo kwake kuna maelezo mawili tu. Ama hali yake ya kiafya ni mbaya sana, au hayuko tena katika nafasi ya uongozi ya amri jesh mkuu na mwenyekiti wa Tume ya Kijeshi ya China.
Li Qiaoming alihudhuria semina hiyo wakati Xi hayupo akiwa ameketi katikati ya kundi la kushoto katika mstari wa kwanza chini ya jukwaa, karibu na Kamanda wa Jeshi la China Liu Zhenli. Waandishi wengi wa mitandao ya kijamii wa China wamesema Xi amewekwa chini ya kifungo cha nyumbani baada ya wazee wa Chama cha Kikomunisti cha China kumuondoa kama mkuu wa Jeshi la Ukombozi la Peoples (PLA).
Popaganda...
Vietnam kuna Rangoon pia?Bro nimekuwa naenda vietnam ndan ya miaka 2 sasa aisee huwez kuamin kuwa walikuwa na bifu na marekan. Kwasasa hiv hawa jamaa wamewakumbatia wazungu kuliko mchina. Sema walichonishinda ni boda boda. Nyingi Mno pale Rangoon