Yuko wapi Rais wa China Xi Jinping?

Uyu jamaa ni msiri sana, sijawai kuyaona macho yake tangu aitawale china adi leo
 
_Putin Ni mgonjwa Sana hafikishi miezi mitatu atakufa. Ana ugonjwa wa Parkinson sawa na ulomuua Mohamad ali. by Bbc
_Putin alishakuwa anayeonekana Ni clone yake yaani Kama copy yake. By Ukraine
_Uso was Putin Sasa unaonesha kukata tamaa juu ya Vita kule Ukraine. Hana uso was furaha Kama zamani.
Putin Ni mzima wa Afya. by PENTAGON
NYINGINE.
Kiduku alishakufa kwa Sasa dadake mpenzi ndie anasemwa atashika madaraka.
Angekua mzima angeonekana Hana tabia ya kutoonekana muda mrefu hivi. Miezi mitatu.
NYINGINE
Xi Jingping amepinduliwa. Hajaonekena tokA alipotoa mkutano was SCO.
Hao wore waliosema hayo haikuwahi kutokea Jambo la kweli na ajabu Ni Kwamba anaeanzisha Hili Ni US na wenzake wa Ulaya
 
Mchina hawezi kucheza na mmarekani

Comments zako zina ukweli gani?? Yaani Taifa la VietNam lingekuwa ina imani kama hizi, basi taifa hilo lingebaki chini ya utawala wa Merikani daima duni!! Any idea kwa nini majeshi ya Merikani (a super power) yalitimuka unceremonously kutoka VietNam???
 
Bro nimekuwa naenda vietnam ndan ya miaka 2 sasa aisee huwez kuamin kuwa walikuwa na bifu na marekan. Kwasasa hiv hawa jamaa wamewakumbatia wazungu kuliko mchina. Sema walichonishinda ni boda boda. Nyingi Mno pale Rangoon
 
Vipi sembe inabebeka?
Bro nimekuwa naenda vietnam ndan ya miaka 2 sasa aisee huwez kuamin kuwa walikuwa na bifu na marekan. Kwasasa hiv hawa jamaa wamewakumbatia wazungu kuliko mchina. Sema walichonishinda ni boda boda. Nyingi Mno pale Rangoon
 
X Xing nimiongoni mwa viongozi wenye busara Sana binafsi na support maa mzi yake kuhusu taiwani dhidi ya marekani
 
Bro nimekuwa naenda vietnam ndan ya miaka 2 sasa aisee huwez kuamin kuwa walikuwa na bifu na marekan. Kwasasa hiv hawa jamaa wamewakumbatia wazungu kuliko mchina. Sema walichonishinda ni boda boda. Nyingi Mno pale Rangoon
Vietnam kuna Rangoon pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…