4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Kwani wewe ni mwana wa nani shetani?, sisi sote ni wana waMunguKumwita tundu lisu au mwanadamu yeyote mwana wa Mungu ni kukufuru.
Atendaye dhambi ni wa shetani. Kwani wewe huyajui hayo maandiko?Kwani wewe ni mwana wa nani shetani?, sisi sote ni wana waMungu
Ila Kwa Alias Jiwe haikua kufuru? Chawa kweli wewe!Kumwita tundu lisu au mwanadamu yeyote mwana wa Mungu ni kukufuru.
Atakua ameenda ubeljiji kupokea mshahara wake😂🤣Ndugu wana jf popote mlipo neema ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki
Wakuu nauliza Mwana wa Mungu, kaka wa taifa hili, mzalendo asie na mfano Ndugu Lissu...
Kuna mgogoro chamani!! Mbowe kagoma kuachia ngaziNdugu wana JF popote mlipo neema ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki
Wakuu nauliza Mwana wa Mungu, kaka wa taifa hili, mzalendo asie na mfano Ndugu Lissu...
Au kupiga shoo?Atakua ameenda ubeljiji kupokea mshahara wake😂🤣
Una wazimu wewe! Unawezaje kumuita Mbowe ni tapeli?Mwamba yupo anajifua na kuweka nondo zake Sawa ili akianza noma akinukishe kweli kweli
Uchaguzi ujao Mbowe na utapeli wake akae pembeni amuache Kamanda aipatie nchi kinacho staili
Ukisikia kuwa Samia ni mwanasiasa aliyewiva basi indicators zake ni kama hizi. Leo Lissu anatafutwa kwa vile hasikiki.Ndugu wana JF popote mlipo neema ya Bwana ikawe juu yenu na Mungu amebariki
Wakuu nauliza Mwana wa Mungu, kaka wa taifa hili, mzalendo asie na mfano Ndugu Lissu...
Umeanza ujinga wako jumamosi hii.Kumwita tundu lisu au mwanadamu yeyote mwana wa Mungu ni kukufuru.
Hii umeipata wapi ? PumbavuTundu Lissu yuko mahali aki chekiwa afya yake,alitembea kilometa nyingi sana kwenye maandamano. Ni desturi yake akifanya hivyo lazima amuone daktari wake