Mwene chungu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 915
- 752
Hauna uhakika na unachokizungumza yupo anasumbuliwa na maradhi kwa kipindi kirefu sasa...Anaponda mali alizokusanya perhaps.., wale waliozembea wanahangaika na tigo. Nakumbuka igizo la kwanza la joti na mpoki nililiona ITV kipindi cha mambo hayo
Hauna uhakika na unachokizungumza yupo anasumbuliwa na maradhi kwa kipindi kirefu sasa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yako nayo si mchezonimeipenda avatar yako mkuu
Asante sana...nimeipenda avatar yako mkuu
Hauna uhakika na unachokizungumza yupo anasumbuliwa na maradhi kwa kipindi kirefu sasa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.Salute.
Kuna wakati huwa najiuliza sana juu ya huyu jamaa, aliwahi kuwa marufu sana hadi mwishoni mwa miaka ya 2011 kama sijakosea. Ni muda sasa sijawahi kusikia anaendeleaje. Sijui nani anataarifa zake jamani. Mashabiki tunataka kujua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huo ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini? Mbona alikua poa tu mara akaanza kuumwa?Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.
Alipelekwa tu India na Serikali kwasababu wakati ule kundi lilikuwa maarufu na ilionekana kama viongozi wanapelekwa India why not Wasanii lakini kitaalam walikuwa wanaojua nothing new will be detected or diagnosed.
Yuko Kigamboni kwa Babu na baadhi ya ndugu zake wakimpa msaada pamoja kundi lao la OK likiongozwa na Masanja Mkandamizaji.
Ila inasikitisha sana.