EGF
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 387
- 986
Hahahaa mkuu [emoji38][emoji38]Kwa
Kwanini bidada? Au umempenda yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa mkuu [emoji38][emoji38]Kwa
Kwanini bidada? Au umempenda yeye
Asilimia nyingi nakubaliana na weweUbongo wa mshikaji ndiyo basi tena. Kifupi jamaa anasubiria tu siku ifike ila no hope at all at all!
Yap wala hujakosea napenda picha yoyote inayohusisha baba mama na mtoto coz natamani kuwa baba bora hapo baadae kwa kizazi changunapenda tu kumuona baba anaonesha mapenzi kwa mwanae huwa nadata kwakwel! najua sio yeye ni za mitandaon!ila nibonge la pose aisee!
Kwakweli sijafahamu ugonjwa wake ila yupo kwa ndugu zake hapa jirani hali yake ni sio ya kuridhisha kabisaHivi anaumwa nini?? UKIMWI au Kansa?
wachekeshaji walikuwa joti na mpoki, wengine walikuwa supporting actors tuIla kiukweli jamaa hajawahi kinichekesha hata kutoa tabasamu.
Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.
Alipelekwa tu India na Serikali kwasababu wakati ule kundi lilikuwa maarufu na ilionekana kama viongozi wanapelekwa India why not Wasanii lakini kitaalam walikuwa wanaojua nothing new will be detected or diagnosed.
Yuko Kigamboni kwa Babu na baadhi ya ndugu zake wakimpa msaada pamoja kundi lao la OK likiongozwa na Masanja Mkandamizaji.
Ila inasikitisha sana.
Hahahaaaa we fala ndo maana nikakuita uje uuone uzi huuBado anahangaika na tatizo lake kubwa Ugonjwa wa Dally Kimoko.
Kiswahili kisicho rasmi...ubongo kusinyaaCerebral atrophy ndio ugonjwa gani????
Daaa inauma sana!!Ana tatizo la kwenye ubongo ambalo hawezi kurudi Katika hali ya kawaida tena Katika maisha yake. Ila ni mambo ya kifamilia hayo.Hata Muhimbili waliligundua hilo na hata kwenda India ilikuwa haina maana kwasababu ni tatizo ambalo ukipata halina tiba zaidi ya palliative care tu.
Alipelekwa tu India na Serikali kwasababu wakati ule kundi lilikuwa maarufu na ilionekana kama viongozi wanapelekwa India why not Wasanii lakini kitaalam walikuwa wanaojua nothing new will be detected or diagnosed.
Yuko Kigamboni kwa Babu na baadhi ya ndugu zake wakimpa msaada pamoja kundi lao la OK likiongozwa na Masanja Mkandamizaji.
Ila inasikitisha sana.
Kuigiza kama mtu fulani kama kazi sidhani kama ni kudhihaki ..Huyu si ndio yule alikuwa anadhihaki watu wagonjwa kama mh Mrema. alisahau kuwa "haujafa haujaumbika" Mungu atende miujiza aponye ili aweze kujutia aliyokuwa akiyafanya
Wengine wameshindwa kuutumia umaarufu wao vema, ndiyo maana hadi leo hatuna taarifa zaoHivi kundi lao bado lipo hai? Mastaa wawili wapo kwenye matangazo ya biashara za makampuni, mwingine anajishughulisha na mambo ya injili, mc Regan na wakuvwanga hawajulikani wanafanya shuguli gani. Ki ukweli hili kundi lilijipatia umaarufu mkubwa sana
igiza yao ilikuwa ya kudhihaki
IKiswahili kisicho rasmi...ubongo kusinyaa
Kule kakupenda nendeni Pm basi
Nendeni Pm mkayajenge basinapenda tu kumuona baba anaonesha mapenzi kwa mwanae huwa nadata kwakwel! najua sio yeye ni za mitandaon!ila nibonge la pose aisee!
Mkuu ilikuwa maigizo tu mkuu........na of course alikuwa anawakilisha kile alichokuwa nacho Mrema na wala sio kudhihakiHuyu si ndio yule alikuwa anadhihaki watu wagonjwa kama mh Mrema. alisahau kuwa "haujafa haujaumbika" Mungu atende miujiza aponye ili aweze kujutia aliyokuwa akiyafanya