Na wengi wanaonunua mabasi ni sababu ya mapenzi tu na kuvutiwa na hayo mabasi lakini vision hawana kabisa ndio maana wanapukutika kila leo.....Hii biashara kufilisika ni dk 0 tu!
Ndomana sumry alingia kwenye
Kilimo
Ova
Wababe wa kaskazini wapo wengiUzi ttajir Sana huu, heshima kwa wakongwe wote hapa mmeonyesha kwa kina sana kumbukumbu mlizo nazo za enzi hizo hasa Yohanne mbatizaji mimi sikuwa najua bwana Mbowe ana nyota nyingi hivyo kwakweli
Sasa tuleteeni uzi wa mbabe wa kaskazini enzi hizo
Heshima yenu!!
Mdau ina maana ulikuta iyo ajali ikiwa ya moto kabisaaaHuyu bwana anaendesha Gari kwa mdogo wa KT Abri waarabu wa iringa, kuna mtu kasema hapo alisababisha ajali ni kweli yeye na marehemu ally kilaweni alikuwa anaendesha basi la Zainabs VOLVO B7, ndio waliisababishia basi ya Shabby ilikuwa inaendeshwa na marehem ROSHI ilipata ajali baada ya mashindano makali pale kona za kukutamisha mkoa wa ruvuma na wilaya ya Njombe, wakati huo sisi Scandanavia tulikuwa tunakuja nyuma pole pole na hiyo ruti nilikuwa nimempokea mzee Okala mzee wa mliyayoyo. Giriki ni halfkast wa kigiriki na kingoni, alipigwa marufuku kabisa kuendesha mabasi na liseni yake alifungiwa miaka 2 na kutangazwa ktk Gazeti la serekali.
Kanda hiyo haikuwa na nguli kama Giriki mkuu?Wababe wa kaskazini wapo wengi
Ngorika
Buffalo
Chakito
Meridian
Ndio huyo mdau picha imetumwa huko juuKanda hiyo haikuwa na nguli kama Giriki mkuu?
Kwa wakati huo, au ni huyu picha imetumwa juu huko mwenye kidevu cheupe au yule anaita madereva derere [emoji23]
Daaa umenikumbusha msisiri jioni uwanja wa mpira usiku mama ntilie wanauza msosidah kweli kitambo... sie tulikuwa madogo kiasi so tulikuwa sana sana tunashabikia.. maana mpira ule zaman wa kihuni sana... yaani mpira kuisha mtu kapasuliwa kitu cha kawaida...
mechi zetu za chandimu tunachezea msisiri uwanja wa msufini karibu na kwa fundikira
enzi hizo watoto wa kina fundikira waliotoka ulaya wazungu wa meli .. wanakuja na wachumba wa kizungu pale mtaani
Daaa umenikumbusha msisiri jioni uwanja wa mpira usiku mama ntilie wanauza msosi
Chonya ndo alikuwa diwani wetu enzi hizo nakumbuka kipind cha uchaguzi unakuta ananunua jezi kwa team ya mtaa pale ili ajihakikishie ushindihalafu asubuh tulikuwa tunawahi kuokoteza chenji zilizokuwa zimeanguka usiku na hazikuonekana.. hadi kule kwa chonya na duka la mpemba
Yupo anaendesha tenki siku hizi. Pia niliwahi kusikia ana mwanae anaendesha New Force almaarufu kwa jina la Mwarabu, nae ni mtu wa mwendo kama baba yakeMara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo.
Nauliza Wahenga wale wa " Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi?
Kazi Iendelee
cc: Bujibuji
Pia kulikuwa na : Rombo Investment,Kamwanga Line, Loliondo Bus, Dar Express, Salama Star, Fresh ya Shamba,Osaka,Hood,Njuweni(Ya Mzee Mfinanga wa Kibaha), Imamu Express , Machame, Wakongwe wengine wataongeza.Wababe wa kaskazini wapo wengi
Ngorika
Buffalo
Chakito
Meridian
Mabasi ya Fresh ya shamba yalifia wapi?Mara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo.
Nauliza Wahenga wale wa "Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi?
Kazi Iendelee
cc: Bujibuji
Yule msafwa alifirisika!Mabasi ya Fresh ya shamba yalifia wapi?
Ama kweli hii biashara ni ya msimu. Idadi ya wanaoiingia na kuanguka ni kubwa sana kulinganisha na wanaobaki.Yule msafwa alifirisika!
Tawaqal zilikuwa zinaishia 10 mf TZD 1210 TZE 4310 etc.Wakuu Mrangi na johnthebaptist, mnakumbuka Gari za Kiswele malori na mabasi yote namba zake za usajiri zilikuwa zinaishia na 89? Yaani kama hivi TZ 1089, TZ 2189.
Sijui ndiyo masharti ya Wataalamu!?
Mkuu unaisahauje shabahaPia kulikuwa na : Rombo Investment,Kamwanga Line, Loliondo Bus, Dar Express, Salama Star, Fresh ya Shamba,Osaka,Hood,Njuweni(Ya Mzee Mfinanga wa Kibaha), Imamu Express , Machame, Wakongwe wengine wataongeza.
Mzee Songambele yule alikuwa mkuu wa mkoa enzi za Nyerere yupo hai? Nilimuona kama miaka 3 iliyopita na niliongea nae ila alikuwa dhaifu kiasi na umri nao Si haba!Hahaha mitaa yangu hiyo
Mzee songambele mzee wangu sana
Haipiti wiki bila kunigusa hewani!
Ila mimi kwangu ni nyuma ya mango,ila nlihama huko nmewachia ----wakae huko[emoji23]
Ila mitaa hiyo ya songambele wazee wengi hapo nlikuwa naelewana nao sana
Kina mzee kumwembe (rip) etc
Huko nkipitaga ni wanted[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Yah yupo mkuuMzee Songambele yule alikuwa mkuu wa mkoa enzi za Nyerere yupo hai? Nilimuona kama miaka 3 iliyopita na niliongea nae ila alikuwa dhaifu kiasi na umri nao Si haba!
Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app