Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Hii biashara kufilisika ni dk 0 tu!
Ndomana sumry alingia kwenye
Kilimo

Ova
Na wengi wanaonunua mabasi ni sababu ya mapenzi tu na kuvutiwa na hayo mabasi lakini vision hawana kabisa ndio maana wanapukutika kila leo.....
 
Wababe wa kaskazini wapo wengi
Ngorika
Buffalo
Chakito
Meridian
 
Mdau ina maana ulikuta iyo ajali ikiwa ya moto kabisaaa
 
Wababe wa kaskazini wapo wengi
Ngorika
Buffalo
Chakito
Meridian
Kanda hiyo haikuwa na nguli kama Giriki mkuu?
Kwa wakati huo, au ni huyu picha imetumwa juu huko mwenye kidevu cheupe au yule anaita madereva derere 😂
 
Daaa umenikumbusha msisiri jioni uwanja wa mpira usiku mama ntilie wanauza msosi
 
Daaa umenikumbusha msisiri jioni uwanja wa mpira usiku mama ntilie wanauza msosi

halafu asubuh tulikuwa tunawahi kuokoteza chenji zilizokuwa zimeanguka usiku na hazikuonekana.. hadi kule kwa chonya na duka la mpemba
 
halafu asubuh tulikuwa tunawahi kuokoteza chenji zilizokuwa zimeanguka usiku na hazikuonekana.. hadi kule kwa chonya na duka la mpemba
Chonya ndo alikuwa diwani wetu enzi hizo nakumbuka kipind cha uchaguzi unakuta ananunua jezi kwa team ya mtaa pale ili ajihakikishie ushindi
 
Giriki yupo anaendesha maroli ya mwarabu mmoja wa mlandizi anaitwa Ahmed motor says safari zake nyingi na za Rwanda Dar
 
Yupo anaendesha tenki siku hizi. Pia niliwahi kusikia ana mwanae anaendesha New Force almaarufu kwa jina la Mwarabu, nae ni mtu wa mwendo kama baba yake
 
Wababe wa kaskazini wapo wengi
Ngorika
Buffalo
Chakito
Meridian
Pia kulikuwa na : Rombo Investment,Kamwanga Line, Loliondo Bus, Dar Express, Salama Star, Fresh ya Shamba,Osaka,Hood,Njuweni(Ya Mzee Mfinanga wa Kibaha), Imamu Express , Machame, Wakongwe wengine wataongeza.
 
Mabasi ya Fresh ya shamba yalifia wapi?
 
Mzee Songambele yule alikuwa mkuu wa mkoa enzi za Nyerere yupo hai? Nilimuona kama miaka 3 iliyopita na niliongea nae ila alikuwa dhaifu kiasi na umri nao Si haba!

Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
 
Nilishawai toka dar saa 12 asubuhi saa 11 jioni nipooo songea yule mwamba alikuwa anaijua njia ya dar to songea balaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…