Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

we jamaa mbona kama unataja watu wa home kinondoni biafra , mitaa ya itaga hadi kanisani... kwa kina ngozi, na tizo tolu... maana home ilikuwa mitaa ya kina patrick mwangata...
Hahahaaaa...... Patrick Mwangata yule golokipa aliyesoma shule ya msingi Mwananyamala kisiwani?

Bwashee hiyo mitaa naijua sana.
 
Na sisi wa Sharuk's bus, Dar Oyee, nk kutoka Ifakara kwenda Dar! Basi linaondoka Ifakara saa 12 jioni kuelekea Dar!

Kuna Satelite bus, Shengena, Zafanana, Fresh ya Shamba, Simba Mtoto, Zamoyoni, Dar Tanga, Dar Gonja, Dar Lushoto, Dar Arusha!! Dar unaingia saa 10/11 alfajiri!! Na hakuna cha ajali wala ujambazi!

Enzi za Mzee wa Ruksa!
mambo ya tanga na satellite coach alikua ameandika basi zake tatu maneno tofauti ya kwanza aliandika .. "makorora wadeka", ya pili akaandiak "waache wadeke" ... ya tatu akaiandika "makorola ni yao"... pia kulikuwa na basi za tayasar, ngorika, tashrif, na mengine kibao tu... trip dara tanga na

ila mwendo wa mabasi zaman hatari sana... nakumbuka tashrif iliua watu wote kwenye kijiji kimoja karibu na segera.. dereva alipita kwenye daraja liliofunikwa na maji kwa ubishi basi likabebwa...

angalia huyu mzeee hapa chini anavyoponda madereva wa sasa... anakwambia dar - moshi kona ni mbili enzi hizo za dereva uweka mguu kati .. kona ya kwanza segera ya pili chalinze.. kwingine kote unafunika
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2021-05-04 at 08.45.38.mp4
    15.6 MB
Ngoja nkirudi mjini nkamtembele mzee songambele npate 2,3 kwake

Ova
Unajua mzee Songambele ile nyumba yake pale Komakoma jirani na mzee Said Tanu alimuuzia mzee Mvulla mmiliki wa bendi ya Super Matimila?

Ile mitaa ilikuwa imetulia sana.
 
Hahahaaaa...... Patrick Mwangata yule golokipa aliyesoma shule ya msingi Mwananyamala kisiwani?

Bwashee hiyo mitaa naijua sana.

ndo mitaa yetu ya kujidai ilikuwa kuanzia mwananyamala kisiwan... kino msisiri hadi huku juu kwa mvungi... mpira tunachezea aidha biafra au kino shule pale bwawan karibu na mahakama.... tukicheza mechi tunacheza na watoto wa mitaa ya kino shamba au watoto wa kule shule ya kumbukumbu.. nakumbuka pale biafra kuna kanjia ka kutokea upande wa pili wa barabara inayokwenda shule ya kumbukumbuku na ada estate.. basi kuna jumba ilikuwa limetelekezwa tukazushiana wanakaaa majini.. lilikuwa bonge la nyumba sema halika mtu
 
ndo mitaa yetu ya kujidai ilikuwa kuanzia mwananyamala kisiwan... kino msisiri hadi huku juu kwa mvungi... mpira tunachezea aidha biafra au kino shule pale bwawan karibu na mahakama.... tukicheza mechi tunacheza na watoto wa mitaa ya kino shamba au watoto wa kule shule ya kumbukumbu.. nakumbuka pale biafra kuna kanjia ka kutokea upande wa pili wa barabara inayokwenda shule ya kumbukumbuku na ada estate.. basi kuna jumba ilikuwa limetelekezwa tukazushiana wanakaaa majini.. lilikuwa bonge la nyumba sema halika mtu
Aisee......mimi nilikuwa nachezea timu ya Lion uwanja wetu ulikuwa pale ilipojengwa hospitali ya mwananyamala baada ya kuitanua.

Pale chini palikuwa na timu ya Ajax ya akina Joseph Katuba na Mwangata.

Kitambo sana bwashee!
 
Unajua mzee Songambele ile nyumba yake pale Komakoma jirani na mzee Said Tanu alimuuzia mzee Mvulla mmiliki wa bendi ya Super Matimila?

Ile mitaa ilikuwa imetulia sana.
Hahaha mitaa yangu hiyo
Mzee songambele mzee wangu sana
Haipiti wiki bila kunigusa hewani!
Ila mimi kwangu ni nyuma ya mango,ila nlihama huko nmewachia ----wakae huko[emoji23]
Ila mitaa hiyo ya songambele wazee wengi hapo nlikuwa naelewana nao sana
Kina mzee kumwembe (rip) etc
Huko nkipitaga ni wanted[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Aisee......mimi nilikuwa nachezea timu ya Lion uwanja wetu ulikuwa pale ilipojengwa hospitali ya mwananyamala baada ya kuitanua.

Pale chini palikuwa na timu ya Ajax ya akina Joseph Katuba na Mwangata.

Kitambo sana bwashee!
Ajax ya ufipa au

Ova
 
ndo mitaa yetu ya kujidai ilikuwa kuanzia mwananyamala kisiwan... kino msisiri hadi huku juu kwa mvungi... mpira tunachezea aidha biafra au kino shule pale bwawan karibu na mahakama.... tukicheza mechi tunacheza na watoto wa mitaa ya kino shamba au watoto wa kule shule ya kumbukumbu.. nakumbuka pale biafra kuna kanjia ka kutokea upande wa pili wa barabara inayokwenda shule ya kumbukumbuku na ada estate.. basi kuna jumba ilikuwa limetelekezwa tukazushiana wanakaaa majini.. lilikuwa bonge la nyumba sema halika mtu
Hahaha mimi nlichezeaga timu ya nsembenze,maskani yetu ilikuwa muslim pale..nlichezeaga pia shayawena
Time zote za wahuni....

Hyo nyumba unayesema hapo biafra/block kushuka kama unakwenda ada kna mpemba alikuwa UK alidhulumiwa naskia mpk leo haikaliki

Ova
 
Hahaha mitaa yangu hiyo
Mzee songambele mzee wangu sana
Haipiti wiki bila kunigusa hewani!
Ila mimi kwangu ni nyuma ya mango,ila nlihama huko nmewachia ----wakae huko[emoji23]
Ila mitaa hiyo ya songambele wazee wengi hapo nlikuwa naelewana nao sana
Kina mzee kumwembe (rip) etc
Huko nkipitaga ni wanted[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Ok....kuna jamaa kule akina Fikirini, Furahisha nawakumbuka kidogo hasa mitaa ile ya Bangladesh!
 
Hii Hekima siisahau
Iliwahi kupigwa ligi moja matata sana kutoka moro mpaka kibaha
Mimi nilikua ndani ya Mohamed Trans ya jioni inayotoja Dodona enzi hizo bado mpya siti zina nailoni bado
Mbele ilikua Sunry halafu Hekima kisha Mohamed Trans
Ilipogwa ligi sio ya nchi hii

Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
Hekima ilikuwa inawasha moto haswaa. Nyuma ilikuwa na picha ya Albert Nyirenda anasimika bendera ya Taifa kwenye killer Cha mlima Kilimanjaro.

Hekima kipindi Cha machafuko South Africa enzi za JK zilikodiwa kwenda kuwabeba watanzania walikuwa kule na kuwarudisha bongo.
 
Hekima ilikuwa inawasha moto haswaa. Nyuma ilikuwa na picha ya Albert Nyirenda anasimika bendera ya Taifa kwenye killer Cha mlima Kilimanjaro.

Hekima kipindi Cha machafuko South Africa enzi za JK zilikodiwa kwenda kuwabeba watanzania walikuwa kule na kuwarudisha bongo.
Ile ligi mkuu acha kabisa mbele ilikua Sumry Nissan Diesel ikifuata Hekima halafu Mohamed Trans
Gari zilikua zinatembea hatari Chalinze tulipita kama hakuna kituo vile sasa shughuli pevu ikawa kile kipande cha kutoka Chalinze kuitafuta Ruvu Darajani
Pale ndio nilipoikubali Hekima maana yule wa Simry tulifika sehemu mbele kulikua na lorry halafu kule kuna gari inakuja,wa Sumry akapunguzs kidogo mwendo kwa sababu ya lile lorry,dah Hekima akatanua kulia na mwendo ule ule,Mohamed Trans nae akafuata mwendo ule ule
SUMRY ikabaki nyuma huko.
Hatukuiweza kuipita Hekima mpka tumefika picha ya ndege tulaingia petrol station

Sent from my SM-J730GM using JamiiForums mobile app
 
Hahaha kuna kisa nliwafanyiaga watoto wa huko kitambo sana
Nliwapa mpango nkawachangisha hela
Waliponipa tu nkasafiri nlipata nauli,wacha wanisake wakaja kusikia nko bara lingine[emoji23][emoji23] si lawama hizo+rb juu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nliporudi nlimalizana nao

Ova
Hahahaaaa..... Kama ulimalizana nao ulifanya jambo jema bwashee!
 
Hahaha mimi nlichezeaga timu ya nsembenze,maskani yetu ilikuwa muslim pale..nlichezeaga pia shayawena
Time zote za wahuni....

Hyo nyumba unayesema hapo biafra/block kushuka kama unakwenda ada kna mpemba alikuwa UK alidhulumiwa naskia mpk leo haikaliki

Ova

ooh kumbe... basi dah tulikuwa hatukatiz usiku ukiwa peke yako...

dah shayawena.. umenikumbusha mbali.. kuna siku ilipigwa mechi pale sikumbuki ilikuwa shayawena na nani... basi ulikuwa mpira wa kihuni kishenz mashabiki tuko pande mbili... watu wana silaha na mawe kila upande ushamuapia refa mpira ukiisha shughuli anayo... basi goma limekole mpira dakika za jion ... wachezaji wanaonyeshana undava ndani... tunasikia filimbi inalia kupuliza mpira kuisha refa haonekani kumbe kapulizia filimbi upande wa pili wa barabara.. barabara ya kuelekea mtaa wa itaga au ukinyoosha unatokea kanisa la walokole.. yeye kasimama pale karibu na ghorofa la wasomali anapuliza filimbi anatoa ishara mpira umeisha...

regards
 
Back
Top Bottom