mpuko
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 662
- 552
Shukrani mkuu. Nimejikuta niko maeneo ya Komakoma kihisia. Mzee charming sana yule.Yah yupo mkuu
Ova
Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuu. Nimejikuta niko maeneo ya Komakoma kihisia. Mzee charming sana yule.Yah yupo mkuu
Ova
Yupo anaendesha truck kwa MworiOkalla bado yupo bwashee?
Ndio mkuu.Mdau ina maana ulikuta iyo ajali ikiwa ya moto kabisaaa
Ana stori sana yule mzeeShukrani mkuu. Nimejikuta niko maeneo ya Komakoma kihisia. Mzee charming sana yule.
Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
Komakoma ina historia bwashee.Shukrani mkuu. Nimejikuta niko maeneo ya Komakoma kihisia. Mzee charming sana yule.
Sent from my S20 Ultra using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu.Komakoma ina historia bwashee.
Makongoro Nyerere katesa sana mitaa hiyo!
Hahahaaaa...... Steve Nyerere alikuja na lori la mkaa kutoka Morogoro akatunzwa na familia ya akina Ray Kigosi pale Sinza lakini leo na yeye ni mjanja wa mjini!Duu huu Uzi wa Moto
Big up kwa Yohana mbatizaji na Mrangi,mtongwe,ze dudu na wengine wengiii mnaonekana wakongwe sana kwenye hustle wazeee
Mwendelee kutupa madini sie wakolomije ambao tulifika dar kwa maroli ya lifti au treni za kigoma
Leo tunajidai wajuaji jijini kumbe wakongwe mpo tu mnatuzooom
😂😂😂😂😂
Sana na yule Joseph unajua pale vijana Joseph nyerere alikuwa na eneo kubwaKomakoma ina historia bwashee.
Makongoro Nyerere katesa sana mitaa hiyo!
Huyu Steve kulikuwa na dalai mmja wa magari enzi hzo lumumba jamaa alikuwa kama chawa wake,mambo ya ukimbelembele hyo alianza tokea zamaniHahahaaaa...... Steve Nyerere alikuja na lori la mkaa kutoka Morogoro akatunzwa na familia ya akina Ray Kigosi pale Sinza lakini leo na yeye ni mjanja wa mjini!
Hahahaaaa......jamaa ni bonge la chawa.Huyu Steve kulikuwa na dalai mmja wa magari enzi hzo lumumba jamaa alikuwa kama chawa wake,mambo ya ukimbelembele hyo alianza tokea zamani
Ova
Namjua vzr sana!na akinionaga ananiamkiaHahahaaaa......jamaa ni bonge la chawa.
Alikuwa anaosha ile Chasser ya Ray wakati ule baadae akina Bishanga na JB ndio wakamuingiza sokoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule bwana alinitoa Mbeya saa 2 asbuhi na kunifikisha Dar saa 10 jioni, nilishilikia siti mwanzo hadi mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ilikua ikifika Iringa matrafiki wanasema Giriki Baba umepita basi raha sana
bwashee umenivunja mbavu leo amekua mchangisha rambirambi hapo daslam!Hahahaaaa...... Steve Nyerere alikuja na lori la mkaa kutoka Morogoro akatunzwa na familia ya akina Ray Kigosi pale Sinza lakini leo na yeye ni mjanja wa mjini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simbachawene huyu waziri? LolDodoma -mbeya kuna basi lilikuwa linaitwa URAFIKI huyu mh simbachawene alikuwa kondakta wa hilo basi balaa lake sio poa nakumbuka lilituacha comfort tukapanda matema mabichi ngoma imefukuzwa tumeikuta mbeya imetulia [emoji1430]
Heeeeeeh makubwa tena lolHahahaaaa......jamaa ni bonge la chawa.
Alikuwa anaosha ile Chasser ya Ray wakati ule baadae akina Bishanga na JB ndio wakamuingiza sokoni.
Kumbe muarabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Giriki huyu hapaView attachment 1773710
Umenikumbusha miaka ya juzi kati nilikuwa kikazi Iringa, sasa ikawa lazima nirudi haraka DSM kwa dharura - nikachukua kibegi chagu moja kwa moja pale barabara kuu kusubiri basi lolote lile maana muda ulikuwa saa nne nne hivi asubuhi..mabasi yote yanayotokea Iringa yashasepa.Mara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo.
Nauliza Wahenga wale wa "Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi?
Kazi Iendelee
cc: Bujibuji