Yule anayepiga simu wakati maongezi yanaanza, taarifa ya habari, ibada au mikutano ni kivuruge anayeudhi

Yule anayepiga simu wakati maongezi yanaanza, taarifa ya habari, ibada au mikutano ni kivuruge anayeudhi

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kuna watu huwa wanaudhi sana, yaani anaweza asikupigie simu muda mrefu sana au hata kama anakupigia mara kwa mara lakini mara nyingi kuna watu fulani hupiga simu punde tu maongezi yanapoanza..

Mfano anapiga simu mara tu mnapoanza maongezi au mikutano, ibada, taarifa ya habari au kugegedana, na yeye ndiyo anapiga simu. Hawa ni vivuruge wanaoudhi sana.
 
Kuna watu huwa wanaudhi sana yani anaweza asikupigie simu muda mrefu sana au hata kama anakupigia mara kwà mara lakini mara nyingi kuna watu fulani hupiga simu punde tu maongezi yanapoanza mfano anapiga simu mara tu mnapoanza maongezi au mikutano ibada taarifa ya habari au kugegedana nayeye ndio anapiga simu. Hawa ni vivuruge wanaoudhi sana.
Sasa wewe ndo unayeudhi zaidi kwa kutokuzima simu wakati upo kikaoni
 
Halooo..unasemaaa
... zile milioni kumiiii....eeeeee....nikitoka hapa ndo naenda kukuwekea aaaa.....zile milioni 20 nitakuja nazo tuuuu hukoooo...eeeee si unajua raisi anakuja huuuukooo... nitakuja naeeee
 
Back
Top Bottom