Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Wewe zalisha wanawake pata watoto Ila sharti kuu usioe na usiishi na Mwanamke kinyumba ukishamtia mimba akishazaa tu mtimue akatafute mwanaume mwingine wa kuendeleza ulipoishia na usirudiane nae
Noma sana!
 
Vipi mkuu wewe hujawahi kuonana naye ili shughuli zako za Kariakoo ziende kama ulivyopanga?.
Na ndomana anazidi kuwa bilionea siku hizi... Jezi zote anatengeneza yeye, hapana Chezea Uganga wewe! 😂

SANDALAND THE ONLY ONE HUYO!
 
Loh, staki
 
Hilo gumu sanaaa,
Utakutana na waziri siku akupe mkono lazima utarudisha,
Hapo simple ni la kuvaa viatu, na hilo la kuwa na dem mmoja, hayo easy tu yanawezekana
 
Hilo la kugonga mwanamke mmoja tu Lina shida gani?
 
Nani mwingine aliyeko huko ambaye ni bingwa?,Nataka mwenye sifa kama za huyo bi njimwite au zaidi.
 
Kwanini hamkututangazia mapema na sisi Sasa hivi tungekuwa mapedeshee wa mjini,mnaroho mbaya sana mnapenda tuwe masikini sisi muendelee kufurahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…