Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
Wataruhuru tu.
Suti kali chini yebo?
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Kwa kweeli mwaya. 😅Usishangae wahenga walishasema mganga hajigangi[emoji28][emoji28][emoji28]
Wao ni mawakala au makuhani wa shetani watakuwaje na maendeleo Sasa.Pia huwa nashangaa kwa nini watu kama hao hawajianzi wenyewe kutajirika wakawa mfano?
Wengi wanaishi maisha ya shida tu.
Unanivunja mbavu aiseeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo mganga amekufa angekua hai ushafika lindiNITAHAKIKISHA BAADA YA MUNGU JINA LINALOFUATA KUJULIKANA TANZANIA NI NSHOMILE WA MULEBA.
KWANZA WEWE MRS VAN NAKUHONGA HARRIER YA 2023 ACHANA NA HZI ZA 2003UNAZOONA BONGO.
YA MILLION 140
LKN HUKU NINA YEBO
Toka lini utajiri umewahi kuwa raha hatar kwa waliopata bila dawa.Sasa huo utajiri au mateso?
Embu leta maneno mkuuMkuu yawezekana umesimuliwa ila mimi nimewahi fika hapo na nikaonana live na huyu bibi,utapeli mkubwa sana ulikuwepo hapo
Unanivunja mbavu aiseeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo mganga amekufa angekua hai ushafika lindi
Hutaona aibu kulamba msuti mkali na yebo ukumbini?WAKATI WANANIALIKA NISHACHANGIA MILLION 50 NA KUGHARAMIKIA HARUSI YOTE.
NANI ATAKAZA FUVU HAPO KWENYE YEBO.
HUTAI YEBO NACHUKUA HELA YANGU NA KUSEPA
Hutaona aibu kulamba msuti mkali na yebo ukumbini?
AhahahaHIVI KAKA UNAJUA UTAMU WA PESA WEWE???
USHAWAHI KAMATA MILLION 20 YA KWAKO NA SIYO YA MKOPO??
KAMA JIBU NDIYO BASI UTANIELEWA
Nakuunga mkono asilimia 100 ukishatoa hata 10 tu hata uende na pensi yebo na kaoshi bado watakupigia mayowe ya shangwe, Davis Mosha juzi juzi moshi kachangisha M 500 kanisani nywele katifua angekuwa hana hela wangemwambia akachane kwanzaMZEE MBONA HUELEWI
YANI HATA IKULU NAIINGIA NA YEBO
KAMA HARUSI HAWATAKI YEBO SIINGIII
LAKINI USISAHAU WAKATI WANANIALIKA NIWE MKUU WA KIKAO CHA HARUSI TYRI NAKUWA NIMECHANGIA MILLION 30 KWAHYO HATA NKIWA NA BOXER WATAPIGA MAKOFI TU
Muombee mungu nshomile mganga mpya aibuke na amjue mapema akuonyeshe utamu wa hela ahaaa uwekwe knye payrol m20 kila mwezi ya matumizi, Kighorofa cha B2 mbweni gari 5 kali brand za Ero , HELA MUNGU WA PILI DUNIANIUnanivunja mbavu aiseeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo mganga amekufa angekua hai ushafika lindi
Nakuunga mkono asilimia 100 ukishatoa hata 10 tu hata uende na pensi yebo na kaoshi bado watakupigia mayowe ya shangwe, Davis Mosha juzi juzi moshi kachangisha M 500 kanisani nywele katifua angekuwa hana hela wangemwambia akachane kwanza
Du hii mada wachaga wahaya wameichangamkia sijawaona wakinga bado ahaaaaaWatanzania mna roho mbaya sana... kwahiyo mkuu, wewe ukasubiri mpaka afe ndo ulete hizi habari? Kwamba tungenufaika sana?