Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unayajuwa mateso ya ufukara? acha kabisa.Sasa huo utajiri au mateso?
Ni kweliNini Siri ya hayo masharti. Baada ya muda utayumba na utatakiwa kurudi tena, ndo utaongezewa masharti, baada ya muda utafikia point of no return, sio kazi rahisi kama mnavyofkria.
Shart la Kwanza ni kianzio tu, utakuwa unaongezewa masharti bila kuliacha lile la Kwanza .....It is costfull not easy in the long run
Nafuu huyo Njimwite masharti yake ni mepesi. Wakinga mganga wao ni Mwakipande aliyerithi kwa Baba yake ambaye alikufa kama miaka 15 iliyopita. Wakinga zaidi ya masharti hayo la kwanza lazima umuue au umfanye msukule ndugu wa karibu. Yaani Mama, mtoto wako au mdogo wakoNi siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
N.k, n.k
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Ni kweli uko serious unataka hizi pesa za brotherhood?Watanzania mna roho mbaya sana... kwahiyo mkuu, wewe ukasubiri mpaka afe ndo ulete hizi habari? Kwamba tungenufaika sana?
Kuna viatu vya yebo yebo madogo wa shule ya msingi wanavaaWataruhuru tu.
Suti kali chini yebo?
🙄🙄🙄🙄
Masharti hayo yote sioni hata moja lenye nafuuNi siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
N.k, n.k
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Unawasha Range Rover Sport yako y 2022 mbio mbio kutoka kijitonyama unaisaka wazo huko au boko na nahis ukijinyea kwny range ushaharibu sharti.Hilo sharti la kichakani imagine umebanwa kijitonyama au sinza mpaka ukute kichaka ushaharibu mambo[emoji23][emoji23]
okUnayajuwa mateso ya ufukara? acha kabisa.
Hyo ya demu mmoja ngumu coz ukishaanza kuwa hela totoz zinakuja tu dadeki huchomoki...Hilo la kuwa na mwanamke mmoja mnalichukulia poa Ila ni gumu mno wakuu..