Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

AISEE MASHARTI MAZURI SANA HAYO.

NINGEMJUA MAPEMA SASA HIVI NINGEKUWA NA MABASI YANGU YA MIKOANI NA NIINGEYAITAA

NSHOMILE TRAVEL CO.LTD

DAR-BUK, DAR-KAMPALA,DAR-KIGALI, DAR-LUSAKA,DAR-HARARE, DAR-GABORONE

NAJUA HAPO HILO SHARTI LA KUTOMSALIMIA MTU KWA MKONO NI JEPESI NINGELIWEZA TU.

MBINGU NA PEPO NI HAPAHAPA DUNIANI
Hilo ni sharti gumu ndio maana likawekwa hapo. Fikiria umeshakuwa mfanyabiashara mkubwa wewe na wenzako mmeitwa Ikulu na Rais anawasalimia kwa kuwapa mkono utakataa?
 
Hamna sharti rahisi kwenye maswala ya Uganga na Ushirikina, na hivi viumbe huwa vikikupa sharti vyenyewe ndio vinakua vinakushawishi uvunje sharti.

Mfano ukichagua kutovaa viatu vya kufunika, Wanakuletea marafiki,ndugu,watu wako wa karibu watakaokua wanakushawishi kila mkiwa nao uvae viatu vya kufunika.

Au wanakua wanakupelekea macho yako kuona viatu vizuri vyakufunika ambavyo hukuwahi viona duniani.

Ki ufupi hamna sharti rahisi kwenye haya mambo na usithubutu kujichanganya kupata Pesa za Masharti,N mbaya sana.
Nakubali braza. Unakuta unapewa sharti la mwanamke mmoja, afu ndo unashika hela, unaletewa wanawake wa kipepo ama majini mazuri mazuri yakutege, uanguke, wakukule kichwa...🤸🤸
 
KUNA JAMAA KIJIJINI HUKO NILISIKIA STORI YAKE KUWA KWENYE KIKAO CHA FAMILIA CHA UKOO ALIFANYA KUFURU.

KWANZA KIKAO KABLA HAKIJAANZA NG’OMBE 2 ZILIANGUSHWA NA BIA KRETI 20.

HAPO YEYE HAJAFIKA BADO.

UNAAMBIWA KIKAO KILIMSUBIRI KWA SIKU 3 HUKU WANA UKOO WAKILA MEMA YA NCHI NA WALA HAKUNA ALIYEKUWA ANALALAMIKA ETI MBONA HAJI NA WENGINE WAKAENDA MBALI NA KUMPIGIA SIMU ETI AWE HURU KUJA SIKU ATAKAYO NA WATAMSUBIRI
Aiseee 🤣🤣 tutafute hela kwakweli
 
Hilo la kuwa na mwanamke mmoja mnalichukulia poa Ila ni gumu mno wakuu..
Kiuhalisia ni gumu, inahitaji nguvu kubwa sana ya kihisia kukabiliana na wanawake wazuri utakaokuwa nao karibu, uvumilivu juu ya kejeli ambazo hao wanawake watakuwa wanakupa kwa kushindwa kuwapiga show licha ya kwamba wanajirahisha kwako, kejeli kama upinde, hauna nguvu za kiume, mshamba na nyingine nyingi za kuzoofisha heshima ya kiume.
 
AISEE MASHARTI MAZURI SANA HAYO.

NINGEMJUA MAPEMA SASA HIVI NINGEKUWA NA MABASI YANGU YA MIKOANI NA NIINGEYAITAA

NSHOMILE TRAVEL CO.LTD

DAR-BUK, DAR-KAMPALA,DAR-KIGALI, DAR-LUSAKA,DAR-HARARE, DAR-GABORONE

NAJUA HAPO HILO SHARTI LA KUTOMSALIMIA MTU KWA MKONO NI JEPESI NINGELIWEZA TU.

MBINGU NA PEPO NI HAPAHAPA DUNIANI
Sipendi kusalimiana kwa mkono,
Mtu kachokoa mapua,makoro kashika papa huku linakuja kukupa mkono huku linakukenulia..
Salam za kupeana mikono sio salama kiafya

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Kiuhalisia ni gumu, inahitaji nguvu kubwa sana ya kihisia kukabiliana na wanawake wazuri utakaokuwa nao karibu, uvumilivu juu ya kejeli ambazo hao wanawake watakuwa wanakupa kwa kushindwa kuwapiga show licha ya kwamba wanajirahisha kwako, kejeli kama upinde, hauna nguvu za kiume, mshamba na nyingine nyingi za kuzoofisha heshima ya kiume.
Naturally wanaume mmeumbwa ni polygamist hivyo inahitaji nguvu mno kupambana na nature,
Mungu awasaidie tu kwa kweli siyo rahisi, huko duniani kuna pisi ni kali hadi mimi mwenyewe wa kike huwa na appreciate uumbaji wa Mungu..!!
 
Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
  • Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
Itakua watanzania wengi walienda kwa huyo Mganga wakapewa vyeo. Maana kila ninapopita nasikia wakiitana "Mkuu", " Kiongozi", "Bosi", "Mkurugenzi" n.k
 
Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
  • Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
hiyo ya kunya kichakani ndo yenyewe!!!!,sasa kama upo posta,pale BENJAMIN TOWER ukabanwa utafanyaje?
 
Nini Siri ya hayo masharti. Baada ya muda utayumba na utatakiwa kurudi tena, ndo utaongezewa masharti, baada ya muda utafikia point of no return, sio kazi rahisi kama mnavyofkria.

Shart la Kwanza ni kianzio tu, utakuwa unaongezewa masharti bila kuliacha lile la Kwanza .....It is costfull not easy in the long run
Pia kila Mwaka unatoka ulipo kupeleka ahsante ya Tsh 2000 huko ngende kwa mganga...ili ndio sharti gumu.
 
Back
Top Bottom