Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
N.k, n.k