Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama nakuzoom unavyokunya vichakani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama nakuzoom unavyokunya vichakani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio uwongo hiyo ngende imewatia uchizi ndugu zangu wengi sana kwakutaka hela za mkatochai kabisa hii
Utapeli ulikuwa sehemu gani?Mkuu yawezekana umesimuliwa ila mimi nimewahi fika hapo na nikaonana live na huyu bibi,utapeli mkubwa sana ulikuwepo hapo.
Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
N.k, n.k
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Si katajaa au yanazolewa 😂😂✋🏻Ila imani hizi.
Hivyo hicho kipengele cha mwisho inabidi na utajiri wote anaopatiwa mtu kama ni eneo analoishi basi mtu atengeneze kakichaka spesho kwa kazi hiyo ili asiende nje ya masharti. 🤣
Kabla hujapupu unakimbilia Chanika😁😁Hiyo ya kunya kichakani duu, sasa kama tajiri anaishi kariakoo atakunya kichaka kipi [emoji3][emoji3]
Si unakua ushanunua Mercedes Benz spidi 360 unaamsha had mbabwe pande chapu[emoji28]hiyo ya kunya kichakani ndo yenyewe!!!!,sasa kama upo posta,pale BENJAMIN TOWER ukabanwa utafanyaje?
Hahahaaa! Hadi nimecheka my dear. 😂Si katajaa au yanazolewa 😂😂✋🏻
hapo kwenye kugonga mwanamke mmoja ningefanikiwa kabisaaNi siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
N.k, n.k
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Vipi ana watoto tuanzie hapoYule Mbunge na tajiri wa makambako JPIPO hajawai kuvaa kiatu cha kufunika,itakuwa ndagu yake katoa kwa huyo Bibi.
Hivi wewe unadhani hayo ni mashart mepesi?PUNGUZENI KUDANGANYA WATU JAMANI , TANZANIA isingekuwa na masikini wengi hivi
Siku zote ukiitwa kwenye fursa jua wewe ndio fursaPia huwa nashangaa kwa nini watu kama hao hawajianzi wenyewe kutajirika wakawa mfano?
Wengi wanaishi maisha ya shida tu.
shetani hawajawi kuwa mwema, shetani ni muovuu tuuPia huwa nashangaa kwa nini watu kama hao hawajianzi wenyewe kutajirika wakawa mfano?
Wengi wanaishi maisha ya shida tu.
mke mmoja rahisi sana, elewa uzaifu wako na kukabiliana nao.. sio umeamua kuwa na mke mmoja, alafu unaenda kukaa mbugani ambapo pisi kali zinakatiza kila mda.. lazima uchane mkeka 😅😅Na hili sharti ni laonekana rahisi..lakini ni moja ya sharti gumu..maana ukiwa na hela madem ndo wanaletwa ili ukosee..na ukikosea wanakwambia toa damu ili tukusamehe na ili utajiri uendeleee....hapo sasa ndio kazi inapoanzia