Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Yule bibi wa Ngende aliyekuwa akigawa vyeo na utajiri amekufa

Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
  • Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
Umeanza🤣
 
  • Usitoe pesa kuanzia saa kumi na mbili jioni. (Kuanzia saa moja asubuhi mwisho kumi na mbili jioni)
  • Usitume pesa, wape mikononi
  • Usilale kitandani - Sakafuni tu
Kuna jamaa yeye ikiwa unamdai hela, hakupi mchana hata iweje. Hata kama unataka kwenda hospitali hakupi. Ila likishaingia giza tu chapu anakupa.
 
Ngende wapo wengi tu sio huyo tu ,ila wale wengi wanatoa shart la mke mmoja tu basiii
Na hili sharti ni laonekana rahisi..lakini ni moja ya sharti gumu..maana ukiwa na hela madem ndo wanaletwa ili ukosee..na ukikosea wanakwambia toa damu ili tukusamehe na ili utajiri uendeleee....hapo sasa ndio kazi inapoanzia
 
KUNA JAMAA KIJIJINI HUKO NILISIKIA STORI YAKE KUWA KWENYE KIKAO CHA FAMILIA CHA UKOO ALIFANYA KUFURU.

KWANZA KIKAO KABLA HAKIJAANZA NG’OMBE 2 ZILIANGUSHWA NA BIA KRETI 20.

HAPO YEYE HAJAFIKA BADO.

UNAAMBIWA KIKAO KILIMSUBIRI KWA SIKU 3 HUKU WANA UKOO WAKILA MEMA YA NCHI NA WALA HAKUNA ALIYEKUWA ANALALAMIKA ETI MBONA HAJI NA WENGINE WAKAENDA MBALI NA KUMPIGIA SIMU ETI AWE HURU KUJA SIKU ATAKAYO NA WATAMSUBIRI
QmmmmmQe
Pesa konyo
 
Nakubali braza. Unakuta unapewa sharti la mwanamke mmoja, afu ndo unashika hela, unaletewa wanawake wa kipepo ama majini mazuri mazuri yakutege, uanguke, wakukule kichwa...🤸🤸
ndio zao, unaweza ona sharti linasema

Huruhusiwi kuwa na Wanawake zaidi ya watatu.

Haraka haraka unaona wanawake watatu tena wazuri niwapendao,wanantosha sanaaa.

Kimbembe kinakuja ukishawapata hao watatu uliojiridhisha ndio wazuri, Hawa wazee wanakuletea PISI WALIZOZIUMBA WAO WENYEWE SASA, unapitishiwa viumbe ambavyo ukifananisha na wake zako unaona ni kumdhihaki muumbaji.

Tena Pisi zenyewe unazoletewa zinajirahisisha kwako yani ni kugusa tu, Sasa Jichanganye Usahau Masharti yako.
 
Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
  • Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
Kama nakuzoom unavyokunya vichakani🤣🤣🤣🤣🤣
 
Elezea vzr
Acha kutapeli watu mkuu,labda Kama unazungumzia ngende ya mgodini,Ila Kama unazungumzia ngende ya liwale iliyoko Kijiji Cha mpigamiti Basi jua unataka kutapeli watu hapa.

Kiufupi huwezi nificha kitu kuhusu huyo Bibi njumwite,na vibaraka wake,wale wote ni matapeli,ukienda pale wako radhi wakupukitushe Hadi chupi uliyovaa,

Wakuu nashauri msijaribu hata kumfuata huyo bwana PM,Ila Kama mnataka kuibiwa Basi jaribuni,I speak from my experience,nimewahi kufika huko,nilichoambulia ni kutapeliwa kila kitu na hao jamaa wa ngende,hakuna jipya nililoliona.
 
Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.

Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.

Utachaguliwa sharti moja, either
  • Ugonge mwanamke mmoja tu.
  • Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
  • Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
  • Usivae viatu vya kufunika
  • Usivae suruali ndefu.
  • Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
  • Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
  • Unye kichakani tu.
N.k, n.k
Hiyo ya kunya kichakani duu, sasa kama tajiri anaishi kariakoo atakunya kichaka kipi [emoji3][emoji3]
 
Kiuhalisia ni gumu, inahitaji nguvu kubwa sana ya kihisia kukabiliana na wanawake wazuri utakaokuwa nao karibu, uvumilivu juu ya kejeli ambazo hao wanawake watakuwa wanakupa kwa kushindwa kuwapiga show licha ya kwamba wanajirahisha kwako, kejeli kama upinde, hauna nguvu za kiume, mshamba na nyingine nyingi za kuzoofisha heshima ya kiume.
Ukiwa hauna nguvu za kiume sharti hilo halitakuwepo jamaa wako vyedi sana...
 
Back
Top Bottom