Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Wewe angekupa sharti la kuvaa moka,vuta picha umevaa moka na skirtKwenye kutokuvaa viatu vya kufunika ningeweza, ndo hivyo tena kesha dead
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe angekupa sharti la kuvaa moka,vuta picha umevaa moka na skirtKwenye kutokuvaa viatu vya kufunika ningeweza, ndo hivyo tena kesha dead
NIngevaa😅😅Wewe angekupa sharti la kuvaa moka,vuta picha umevaa moka na skirt
Mkuu yawezekana umesimuliwa ila mimi nimewahi fika hapo na nikaonana live na huyu bibi,utapeli mkubwa sana ulikuwepo hapo.
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Umeanza🤣Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
N.k, n.k
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Kuna jamaa yeye ikiwa unamdai hela, hakupi mchana hata iweje. Hata kama unataka kwenda hospitali hakupi. Ila likishaingia giza tu chapu anakupa.
- Usitoe pesa kuanzia saa kumi na mbili jioni. (Kuanzia saa moja asubuhi mwisho kumi na mbili jioni)
- Usitume pesa, wape mikononi
- Usilale kitandani - Sakafuni tu
AhahahaKuna jamaa yeye vkhwa unamdai hela, hakupi mchana hata iweje. Hata kama unataka kwenda hospitali hakupi. Ila likishaingia giza tu chapu anakupa.
Subiri soon atapatikana mrithi wake.Watanzania mna roho mbaya sana... kwahiyo mkuu, wewe ukasubiri mpaka afe ndo ulete hizi habari? Kwamba tungenufaika sana?
Na hili sharti ni laonekana rahisi..lakini ni moja ya sharti gumu..maana ukiwa na hela madem ndo wanaletwa ili ukosee..na ukikosea wanakwambia toa damu ili tukusamehe na ili utajiri uendeleee....hapo sasa ndio kazi inapoanziaNgende wapo wengi tu sio huyo tu ,ila wale wengi wanatoa shart la mke mmoja tu basiii
QmmmmmQeKUNA JAMAA KIJIJINI HUKO NILISIKIA STORI YAKE KUWA KWENYE KIKAO CHA FAMILIA CHA UKOO ALIFANYA KUFURU.
KWANZA KIKAO KABLA HAKIJAANZA NG’OMBE 2 ZILIANGUSHWA NA BIA KRETI 20.
HAPO YEYE HAJAFIKA BADO.
UNAAMBIWA KIKAO KILIMSUBIRI KWA SIKU 3 HUKU WANA UKOO WAKILA MEMA YA NCHI NA WALA HAKUNA ALIYEKUWA ANALALAMIKA ETI MBONA HAJI NA WENGINE WAKAENDA MBALI NA KUMPIGIA SIMU ETI AWE HURU KUJA SIKU ATAKAYO NA WATAMSUBIRI
ndio zao, unaweza ona sharti linasemaNakubali braza. Unakuta unapewa sharti la mwanamke mmoja, afu ndo unashika hela, unaletewa wanawake wa kipepo ama majini mazuri mazuri yakutege, uanguke, wakukule kichwa...🤸🤸
Embu leta maneno
Soma Kuna Uzi humu aliuleta huyu jamaa nadhani ni kibaraka wake,nilielezea hukoElezea vzr
Kama nakuzoom unavyokunya vichakani🤣🤣🤣🤣🤣Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
N.k, n.k
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Elezea vzr
Acha kutapeli watu mkuu,labda Kama unazungumzia ngende ya mgodini,Ila Kama unazungumzia ngende ya liwale iliyoko Kijiji Cha mpigamiti Basi jua unataka kutapeli watu hapa.
Kiufupi huwezi nificha kitu kuhusu huyo Bibi njumwite,na vibaraka wake,wale wote ni matapeli,ukienda pale wako radhi wakupukitushe Hadi chupi uliyovaa,
Wakuu nashauri msijaribu hata kumfuata huyo bwana PM,Ila Kama mnataka kuibiwa Basi jaribuni,I speak from my experience,nimewahi kufika huko,nilichoambulia ni kutapeliwa kila kitu na hao jamaa wa ngende,hakuna jipya nililoliona.
Kuna mangi mmoja alipewa la kutokusalimDah! Hilo sharti la kutokuvaa viatu vya kufunika na kutomsalimia mtu kwa mkono, walau ndiyo yana unafuu. Zaidi ya hapo, yaliyobakia yote ni magumu kwangu.
AhahahahaKama nakuzoom unavyokunya vichakani🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo ya kunya kichakani duu, sasa kama tajiri anaishi kariakoo atakunya kichaka kipi [emoji3][emoji3]Ni siku 3 au 4 sasa nilipigiwa simu kuwa B. Njimwite wa Ngende mkoani Lindi, wilaya ya Liwale,Kijiji Cha mpigamiti ameshaaga Dunia.
Ni mganga pekee Afrika aliyekuwa anapokea buku 2 tu kisha yeye kukupa pesa ya mtaji.
Utajiri ndani ya mwezi mmoja tu, ukikosea masharti ufukara utakucharaza mpaka utajuta.
No kumwaga damu.
Utachaguliwa sharti moja, either
- Ugonge mwanamke mmoja tu.
- Usilale kwenye nyumba yenye umeme,
N.k, n.k
- Usinunue gari ya kutembelea , jaza milori , tax n.k ila hakuna Kununua gari ya kutembelea.
- Usivae viatu vya kufunika
- Usivae suruali ndefu.
- Hakuna kumsalimia mtu kwa mkono.
- Usimwamkie mzazi au mtu yeyote.
- Unye kichakani tu.
Ukiwa hauna nguvu za kiume sharti hilo halitakuwepo jamaa wako vyedi sana...Kiuhalisia ni gumu, inahitaji nguvu kubwa sana ya kihisia kukabiliana na wanawake wazuri utakaokuwa nao karibu, uvumilivu juu ya kejeli ambazo hao wanawake watakuwa wanakupa kwa kushindwa kuwapiga show licha ya kwamba wanajirahisha kwako, kejeli kama upinde, hauna nguvu za kiume, mshamba na nyingine nyingi za kuzoofisha heshima ya kiume.