chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
kiwa na bahati ya kuhandika na maandiko yako yakawakamata vizuri watu basi utawachota kweli kweli.
Huyu bwana hapa JF aliwakamata watu sana kipindi cha Forex na mpaka wengine hata umweleweshe vipi kukubali kuwa alikuwa akili yake aina 50 zake ilikuwa ngumu.
Hapa JF watu wameweza kueleza Forex ni kama kubeti au kudownload pesa ambayo kuna mawili kama kamali upate au usipate.
Sipigilii nyundo, forex inatumia nguvu kubwa kimatangazo na watu kama mmoja alikuwa hapa JF sasa kakimbilia Twitter kwenye kichwa cha habari. Usipokuwa makini unaweza kusema pesa inakuja haraka kumbe sio kabisa.
Sasa tuje kwenye huyu jamaa kiukweli!.baada ya kuona Forex hana jipya tena kahamia kwenye cryptocurrency.
Cryptocurrency kipindi cha miaka ya juzi imeanza kushika kasi kwa kuwavutia watu sana kwa kuona mafanikio makubwa ya sarafu kama kusikia biticoin 1 sawa usd 0.6 imeweza kufikia usd 36000.kipindi cha miaka michache huko nyuma.
Hapa watanzania ndio tunapokuja kupigwa na tamaa na kuchotwa na hawa vijana.
Sasa hawa vijana baada ya kukosa wafuasi nyanja ya forex wamekimbilia kwenye cryptocurrency .
Siri iliyopo wanayofanya:
Vijana wanachofanya kwenye cryptocurrency ni mtindo ambao yeye ataweza kukueleza mafanikio ya haraka huku akitafuta chain ambayo mtakuwa mkilipa yeye kupata kamishine kutoka kwenye hizo sarafu.
Kamishine zinatoka wapi?
Kuna kampuni nyingi ambazo zinataka wafuasi wa kuboost coin zao au tuseme pyramid system.
Kinachofuata ukiingia na ukilipa yeye anakula pesa yako bila kujua.
Lingine ni kwamba mfumo huu cryptocurrency hata mkidhulumiana au kutuma pesa au kukudhulumu hakuna pa kumshitaki kama hata chukua pesa zenu kwa mtindo cryptocurrency, kwa sababu huwezi kutrace na wala huwezi kujua atapeleka benki gani.
Huyu bwana hapa JF aliwakamata watu sana kipindi cha Forex na mpaka wengine hata umweleweshe vipi kukubali kuwa alikuwa akili yake aina 50 zake ilikuwa ngumu.
Hapa JF watu wameweza kueleza Forex ni kama kubeti au kudownload pesa ambayo kuna mawili kama kamali upate au usipate.
Sipigilii nyundo, forex inatumia nguvu kubwa kimatangazo na watu kama mmoja alikuwa hapa JF sasa kakimbilia Twitter kwenye kichwa cha habari. Usipokuwa makini unaweza kusema pesa inakuja haraka kumbe sio kabisa.
Sasa tuje kwenye huyu jamaa kiukweli!.baada ya kuona Forex hana jipya tena kahamia kwenye cryptocurrency.
Cryptocurrency kipindi cha miaka ya juzi imeanza kushika kasi kwa kuwavutia watu sana kwa kuona mafanikio makubwa ya sarafu kama kusikia biticoin 1 sawa usd 0.6 imeweza kufikia usd 36000.kipindi cha miaka michache huko nyuma.
Hapa watanzania ndio tunapokuja kupigwa na tamaa na kuchotwa na hawa vijana.
Sasa hawa vijana baada ya kukosa wafuasi nyanja ya forex wamekimbilia kwenye cryptocurrency .
Siri iliyopo wanayofanya:
Vijana wanachofanya kwenye cryptocurrency ni mtindo ambao yeye ataweza kukueleza mafanikio ya haraka huku akitafuta chain ambayo mtakuwa mkilipa yeye kupata kamishine kutoka kwenye hizo sarafu.
Kamishine zinatoka wapi?
Kuna kampuni nyingi ambazo zinataka wafuasi wa kuboost coin zao au tuseme pyramid system.
Kinachofuata ukiingia na ukilipa yeye anakula pesa yako bila kujua.
Lingine ni kwamba mfumo huu cryptocurrency hata mkidhulumiana au kutuma pesa au kukudhulumu hakuna pa kumshitaki kama hata chukua pesa zenu kwa mtindo cryptocurrency, kwa sababu huwezi kutrace na wala huwezi kujua atapeleka benki gani.