Yule mkongwe aliyeteka JF kuhusu Forex sasa kaingia kwenye Cryptocurrency, tusubiri vilio

Yule mkongwe aliyeteka JF kuhusu Forex sasa kaingia kwenye Cryptocurrency, tusubiri vilio

Huyu sirjeff kama nitapeli kweli ni wa kimataifa mbona nimeona akimpigisha pindi MO Dewji au na MO kapigwa tayari
 
Inawezekana una chuki zako binafsi tu kwani kwenye cryptocurrency amesema alipwe pesa afundishe mtu ama apate hiyo commision ?
 
Information is the strongest tool in this era...by. NDORANGA.
 
Ontario Ni mtu smart Sana.. lakini mpigaji..
Aliwapiga wasouth milioni 50.. kwenye kikampuni Chao Cha the Money team
Binafsi niliwapa pesa kunifundisha..
Lakini siku trade baada ya kuona Ni mambo yanayotaka muda mwingi Sana kujifunza..yaani Ni shule kamili..
 
Alianza vizuri , akashida prize gogettaz kule sijui anzisha .. he was aspiring enterpreneur ila sasa akakengeuka Njiani
 
Acha Wapigwe Tu Tumechoka
Ukujifanya Wewe Ni Mwamba
Nami Nasema Wapigwe Tu
Kuna jambo huwa najiuliza.
Huu uzi umefunguliwa kwa kutuhurumia tusipigwe?
Watu wakipigwa si ndio vizuri ili wewe uwazidi kimapato?

Nyuzi nyingi za namna hii ni chuki na roho kutu
 
Back
Top Bottom