Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Naona watu wanacment kuwa ni futuhi na sio kitu really!! 😂😂At the age of 26 [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona watu wanacment kuwa ni futuhi na sio kitu really!! 😂😂At the age of 26 [emoji1787][emoji1787]
Fika Mbeya mjini , elekea sehemu inaitwa Mbalizi hapo utashuka stendi inaitwa Tarafani , then hapo omba kuoneshwa stand ya Magari ya kwenda vijiji vya Umalila , tangulia kufika kijiji kinaitwa Isuto ukifika hapo guest utakayolala pata muda wa kwenda kuchangamana na watu bar , utayashuhudia haya.Shukrani Mkuu!
Huko Mbeya mjini, ni maeneo yapi hasa yaliyoathorika na tabia hizo. Ningetamani kutembelea siku moja
😂😂😂Huyo baba wa Clepotina siyo Pascal Mayalla kweli?
Kama ni mende ila wa kipindi cha Magu yote hayo sio shida ila mbali na hapo , nashuka kwenye hili basi la binti yangu kikojoziAt the age of 26 [emoji1787][emoji1787]
Sawa Mkuu, nitajitahidi.Fika Mbeya mjini , elekea sehemu inaitwa Mbalizi hapo utashuka stendi inaitwa Tarafani , then hapo omba kuoneshwa stand ya Magari ya kwenda vijiji vya Umalila , tangulia kufika kijiji kinaitwa Isuto ukifika hapo guest utakayolala pata muda wa kwenda kuchangamana na watu bar , utayashuhudia haya.
Huko mtoto ananyweshwa bia kama mtu mzima , huko mtoto watu wapo kwenye vitu virefu yeye anatambaa chini akililia bia na spirit za wateja nao bila hiyana wanampa.
Jitahidi ufike mkuu , Elimu na ushauri wako unaweza kuwageuza .
Naongea hivi nikiwa serikalini ila serikali ya kijiji na hawa watendaji wetu wa darasa la saba na askari kata wanaoletwa kisa adhabu za huko walikoharibu basi mimi nimepambana nimefeli labda akija mgeni watastuka na kuelewa ni nilikuwa naongea .Sawa Mkuu, nitajitahidi.
Serikali isipochukua hatua kudhibiti hali hiyo mapema itapelekea kupoteza nguvu kazi kutokana na mazingira hayo hatarishi
Shuka tu babu, hilo basi la binti yako kikojozi halina vioo hewa ni ndogo sana [emoji3]Kama ni mende ila wa kipindi cha Magu yote hayo sio shida ila mbali na hapo , nashuka kwenye hili basi la binti yangu kikojozi
Aki najiona kabisa nitakavyokua natafuna kuni za moto.😂 mmefikia huko? Mkiishi njombe si ndio mtakula hadi moto?
😂 maana kabaridi kidogo tu mshaanza utaratibu wa chaiAki najiona kabisa nitakavyokua natafuna kuni za moto.
Binti basi kalifukiza moshi mwingi , mimi nashuka wacha muendelee naye ninyiShuka tu babu, hilo basi la binti yako kikojozi halina vioo hewa ni ndogo sana [emoji3]
Hujaniona sasa hilo duvet nililojitanda😂 maana kabaridi kidogo tu mshaanza utaratibu wa chai
Feni haina thamani kwasasa 😂Hujaniona sasa hilo duvet nililojitanda
Dah Hilo neno Fogo umenikumbusha sana maeneo yangu ya kaziNasubiria kipande kitakachotuelezea mafaniko yako uliyoanza nayo. Hustling ulizopiga 👊
Passport 6 sio mchezo. Kuna mafogo huku nje wana 1 na hazina mihuri mingi 😂😂
Aaah Kuna nguli huyu umemwachaje? Jack Palladino Lenie anafua sikukuu hukuNimekosa mualiko huwezi amini, so imenibidi tu nijishughulishe
Mayeleeeee😅Aaah Kuna nguli huyu umemwachaje? Jack Palladino Lenie anafua sikukuu huku
Wacha weeeeee..Ni Fiston KalalaMayeleeeee😅