Anakata
Senior Member
- Aug 4, 2020
- 173
- 257
"Too much documents" 😁Alijipanga.
Ila ni kama alishaanza kuchanganyikiwa, too much documents
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Too much documents" 😁Alijipanga.
Ila ni kama alishaanza kuchanganyikiwa, too much documents
Ni askari kanzu ( deep under cover).
Ata Sabaya na yeye ni usalama
Itakuwa ana wa profile labda.. mala passport 600+ za watu tofauti za kazi gani?Ingekuwa vitambulisho vyote hivyo vina picha yake japo majina tofauti or sure ningempigia saluti.
Ukiangalia kuna vitambulisho vina picha za wamama na hijabu zao.
Huyu ni Kishoka mkuuIngekuwa vitambulisho vyote hivyo vina picha yake japo majina tofauti or sure ningempigia saluti.
Ukiangalia kuna vitambulisho vina picha za wamama na hijabu zao.
Nawashangaa wadau humuKwan kun kipi cha ajab kuwa na dress code hiyo mbona haina maajabu? Ni nguo tu kama nguo zingine and by the way sio uniform
Eti wanaona ajabuNyie ndo mnalizwa kila kukicha hivyo vitu vyote vinapatikana hakuna kilichoshushwa kutoka mbinguni hapo
Mishe in town hao kaka.Huyu mjanja tu wa mjini na wajanja kama hawa jela hawakanyagagi.