Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Swali la msingi: Hizo documents anazituamiaje? Mfano kadi ya gari la Shein anaitumia kufanikisha nini?
 
Hamna kitu kinaitwa mashati ya usalama.
Screenshot_20210424-192648_Instagram.jpg
 
Huyu Wao 100% hata kama Ni Feki hivyo Vitu. Wewe unawezaje Ku fake Kadi za Marais wa Nchi kama Hujawahi Kuziona Au Kupewa kwenye System humo humo
Hizo kadi waliokuwa kwenye system wanapewa za kazi gani ?

Hivyo vitambulisho waliokuwa kwenye system wanapewa vya kazo gani ?
 
Mi nawatafuta sana hawa watoto wa Eastern Europe tuje tufanye kweli huku jamhuri ya wazalendo 😬

hahahahaha wale achana nao kabisa, ndio maana Mbobezi alionya awamu fulani juu ya michezo ya kudukuana....
 
Mtu mwenye akili nyingi namna hii mnawezaje kumkamata na kumfunga?
Kaeni nae anaweza kuwasaidia katika kuliendesha jeshi au sekta yoyote nchini. Tisikimbilie mitandaonii kumdhalilisha mtu kumbe huyo mtu ni wa maana!
 
Back
Top Bottom