Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

Ngoja nichukue madini humu naona pipo zimetiririka sio poa
 
Katika kukua kwangu, Mzee alikua ananichukua kwenda sokoni kuhemea kila alipokua anaweza! angehemea kila kitu, ila bado angeacha pesa ya kutosha ya matumizi, pia hakua anauliza sana vitu vinaishaje labda n.k, Nadhani ni kulingana na jamii tuliyoishi kua chakula kinapikwa kujumuisha na waliokuepo kama mgeni, ndugu, majirani, marafiki waliofika nyumbani kututembelea n.k hvyo hakukua na bajeti rasmi kua chakula kila siku kinapikwa kwa ajili yetu tu!

Mimi pia napenda familia yangu niende nayo hivihvi, haijalishi mke anafanya kazi au la!. ila hatakosa pesa ya matumizi(posho/pocket money) kisa tu nimeshanunua chakula! HAPANA KABISA.
Big up sana, nimeelewa point yako [emoji109]
 
Miamba wanaweka stock ndani na kodi ya meza wanaacha kama kawa....Binafsi ni kheri kumuachia ajitawale sekta yake
 
Inategemea una Mke wangu wa aina gani kuna mwanamke kula sio kipaumbele sasa ukimuachia hela ya kula kwa mfano 300k

Katika hali ya kushangaza sana unaweza shangaa unakula mchicha pekee kila inapofika trh 15 kuendelea

Hlf sio kwa ubaya utashangaa anakujazia mapazia mapya na vyombo vipya kwenye ileile budget ya kula...

Sio kwamba vyombo hamna au mapazia hamna ila sio ana vipaumbele vyake

Wa hivyo ndugu yangu nunua kilakitu then mpe walau 150k imsaidie kwenye mambo yake.....

Kwa ujumla kumpa budget ya jiko mke ni jambo zuri.Mo nanunuaga lita 10 mafuta,gunia mkaa,Gas,mpunga gunia na unga kilo 50 hlf nampa budget.Sasa siku nayo mpa nashangaa kaniletea shati na sendo mpya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji31][emoji31].Mara kanunua stand mpya ya viatu eti ya zmn ni fashion ya zmn.Week ijayo anaanza kujipigisha story yaani hela ya mwez huu yote nishanunulia vitu.Najikuta tena natoa 100k mwezi uishe vzr

Mjue mke wako,ijue budget yako.Balance mambo
hahhaahah, unachosema ukweli.
 
Kuna wanawake si wezi wakiachiwa pesa hawana wazo hata chembe la kuiba watanunua kila kitu sawa sawa, sasa wala wenye tabia ya wizi ogopa kabisa! Ukimuachia 400,000 kwa siku anawaza aibe ngapi kwa siku/mwezi ili apeleke kwenye vikoba
Kuepusha hili mnapaswa muwaachie na hela ya matumizi binafsi. Hii iwe tofauti na ile ya chakula.
 
Kuna wanawake si wezi wakiachiwa pesa hawana wazo hata chembe la kuiba watanunua kila kitu sawa sawa, sasa wala wenye tabia ya wizi ogopa kabisa! Ukimuachia 400,000 kwa siku anawaza aibe ngapi kwa siku/mwezi ili apeleke kwenye
Hahaaaa
 
..mada nzuri.... Mimi nanunua chakula Kwa ajili ya family yangu mwezi mzima....na sokoni naenda...hayo matumizi ya ziada yakitokea ni wajibu wa mke wangu kufidia ...maana nae ana Kazi yake ya ajira yenye mshahara...kumfanyia Kila kitu mke mwenye ajira ni ufala na kumfanya kupe..na mianamake ya siku hizi mibinafsi...ukiyazoesha dezo hayajali...
 
Habari za saizi wakuu,

Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.

Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
Kwann alalamike unapo nunua mahitaji mwenyewe, huenda iyo pesa anataka aipangue awe anaifanyia mengine usiyo yajua.
 
Huwez nunua mahitaji yote vile kuna baadhi ya vitu huvijui na mwanamke ndio mda mwingi yuko responsible na home...


Unapoacha hela ina maana ya lolote dogo linapotokea awe na uwezo wa kuli solve.
 
Late to the party.

Mimi nahusika na kila bili ya nyumbani na chakula ukitoa za tv tu.
Nachangia sehemu ya matumizi.
Napanga bajeti then namueleza anipatie kiasi gani.
Shopping tunaenda wote mara nyingi.

Nisipokuwepo anakuwa na malalamiko mia kuhusu hela za kutumia kila siku. Watu wa nyumbani kwangu hukereka nisipokuwepo. Anahisi wanatumia vibaya ila kwa uhalisia ndo matumizi yetu ya kawaida.

Huu utaratibu umetupunguzia mahojiano
 
unaweza ukawa na nke.....but anakuchuna bro...anakufanya wewe ni buzi....ndoa zina mabo aiseee........ila ktk hilo kila mmoja na maamuzi.. yake.....mimi nanunua kila kitu naweka ndani......na over the weekend mimi ndie mpishi mkuu.....bibie kazi yake ni kuonja onja kukoleza mahaba.........
 
Mimi naona hiyo ina tegemea na aina ya mke kuna baadhi ni wake ila swala zima la shopping and bubgeting hajui mna panga vizur ukisha toa hela vitu anaenda kununua utashnga, ukiuliza vipi ana kuambia hajui kuburgain. So kuna baadhi ya wanaume unaona ana kwenda shopping mwenyewwe sio kwamba ana penda ila inabidi kutokana na wife, ukipata smart wife ( wife material) wewe mwachie tu hata pungufu ata toa hata ya kwake ya ziada aongeze.
Hili swala nimejibu kutoka kwenye uzoefu yamewahi nikumba kwa kweli nimeacha pesa tena nikiwa na kipindi kigumu kwenye cha pesa vitu alivyo nunua nilitaka hata kulia ila nika tulia kiume maana hela imeisha vitu havija timia na yuko very confortable hahahahahahahahaha so tuangalie pande zote sio wote wanajuwa kubana matumizi au kwenda sambamba na budget wengine akiona kashika laki anaona ni nyingi.
 
Habari za saizi wakuu,

Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.

Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
Sikilizeni nyie vijana... mwanaume jabali na wa kweli kama sisi wakongwe hufanya yote. Unanunua mahitaji yote muhimu kwa jumla unavibwaga ndani hapo. Afu kuna vitu vingine havinunuliki kea jumla. Unatoa bulungutu unamrushia wife kitandani... unampa busu moja mwanana na kauli ya kiumeni "tutaonana tena tarehe kama ya leo mwezi ujao"
Hata urudi umeelewa saa saba usiku, utaambiwa pole kwa majukumu mume wangu
 
Mmm, hapo naona umezidisha mkuu,

Au umemwagiza na nyikgine awe ananunua tofari kidogo kidogo?

Nashukuru sana Kiongozi

Cha kushangaza Hela anamaliza mapema tuu na Hela ya Saloon utaombwa kila Mwezi

Mpaka kuna nafikiri kumuacha tuu.

Maana mwaka Juzi ndio nilianza kumpa hela Lumpsum hivo lakini Shida kubwa na inayokatisha Tamaa ni kwamba huwa hasemi Ahsante mpaka leo hii.

So sad this relationship.

Nimejaribu kumuelewesha hilo mpaka kwa washauri wetu wa Ndoa wameongea nae lakini nothing changes .

Ipo Siku tuu hatokaa aamini ntakachomfanyia.
 
fedha ya matumizi weka kabatini ama kwenye droo hata wewe unaiona ukiisha...unaweza ukaweka laki unaiona inaishaje ukiona vipi unaiongeza tena... unaepusha kero za kuombwa ombwa..na kudukuliwa..anajiamini.... akiwa na shida tofauti anakuambia hata ukimuhaidi hawi msumbufu kuliko kila siku kufungua wallet... i life langu tu..
 
Habari za saizi wakuu,

Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.

Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
Wanawake wanapenda anaeacha pesa.
Unadhani ganji watoe wapi
 
Back
Top Bottom