Quaresma Fai
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 590
- 630
Si vizuri kumlaumu yeyote kwa life style anayoishi. Maana si sahihi watu wote kuwa na jibu moja kwa hili, inategemeana na kipato cha mwanaume au wote mwanaume na mwanamke, pamoja na Aina ya mwanamke ulienae, Kama ambavyo tumeona baadhi ya wanawake kulaumiwa, wakati huo tumeambiwa tuishi na wanawake kwa akili, Basi ndo akili hiyo kuwa flexible pale unapohisi kutomwelewa mwenzio kuliko kugombana.Hawa ndo wababa wenye umama ndani yao hawakawii kuesabu minofu ya nyama
Hata ivo mada hii iliwahusu zaidi wanawake waeleze Ni mwanaume yupi wanamwona Bora zaidi, ingawa wachangiaji wengi nikiwemo Mimi tumechangia out of point katika kile kinachoitwa kueleza hisia zetu..