Kahtan Ahmed
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 765
- 490
Je mmezuia wahongwaji kuhongwa
Kama ikitokea tunaona kama tumezuia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je mmezuia wahongwaji kuhongwa
Hili ni jibu sahihi kabisaAnunue mahitaji na aache pesa
Saana tu yaaniAache hela.
Au anunue kila kitu, kisha aache chache za matumizi ya dharura. Kuanza kuomba hela unatoa maelezo kama unaandika statement polisi inaboa
Si kweli mwenye hii tabia hata ukimnyima pesa ya matumizi atahonga hata ada ya shule mkuuKama ikitokea tunaona kama tumezuia
Kwaiyo kumwachia mkeo pesa ya matumizi kunafanya pesa kua ngumu zaidi??Mi nanunua mwenyewe..ye ni kupanga TU bajeti na kupika...nanunua mwenyewe aisee...Tena peke yangu ,Mara moja kwa mwezi...HELA NGUMU SANA
Usijali kabisa ujumbe umefika siku nikioa nitafanya ivo.Mpe uhuru mama watoto
BebiiEndelea
Mwaka wa kuoana ushafika ujue.Bebii
Ndio unakaribia bby....tumalizie vya mwisho mwishoMwaka wa kuoana ushafika ujue.
Kma huwezi kujibu hapa hata piemu ipo wazi[emoji41][emoji41]Turudi kwenye mada mkuu
Still bado unafanya vyemaNilikua naacha pesa nikalishwa sana maharage na majani kama mbuzi wakati mimi siwezi kula mlo usiokua na nyama au samaki nikaona usinitanie..jpil najaza friji vitu navyopendelea halafu namwachia vichenji chenji ya kununua tu viungo viungo...
Si mimi mkuuKma huwezi kujibu hapa hata piemu ipo wazi[emoji41][emoji41]
Fanya maamuzi haraka tule ubwabwa sieNdio unakaribia bby....tumalizie vya mwisho mwisho
Daaaa afadhali...Si mimi mkuu
Mpe mkeo pesa yeye atajuwa wa kumpa kama dada wa nyumbani au bibi. Sio wewe kumpa dada pesa ya matumizi mpe mke wako yeye atawajibika.Kwa sisi ambao wake zetu nao wanafanya kazi na tunaondoka wote asubuhi, hela tunaacha au la?
Umeteseka wewe mume wa watuDaaaa afadhali...