HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Afu kwenye chakula huwa sirembi kihivyo. Mi bei zote nazijua maana nakaa sokoniEew maana pesa mnatoa ndogo bora mnunue wenyewe mjue beii zilivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu kwenye chakula huwa sirembi kihivyo. Mi bei zote nazijua maana nakaa sokoniEew maana pesa mnatoa ndogo bora mnunue wenyewe mjue beii zilivyo
🤣🤣🤣toa tu hela mkuuMfano mimi siwezi kutofautisha Limao na Ndimu, spinach na Chinese, 🤣
Kwahiyo ukinitegemea mimi ninunue utakwama kabisa.
Simpangii mtu apike nini ila sipendi vitu vizuri visiwepoHata vitu vidogovidogo mkuu navyo unanunua wewe??sasa mkeo wajibu wake nini au ukisema nataka kula kitu flani leo sicho utakachokikuta?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mfano mimi siwezi kutofautisha Limao na Ndimu, spinach na Chinese, [emoji1787]
Kwahiyo ukinitegemea mimi ninunue utakwama kabisa.
pitasi waponie wose nkamu.Tununu nkamu[emoji4][emoji4][emoji177]
Hela natoa mkuu. Maana sipendi kujipa stress kwa vitu vidogo vidogo.🤣🤣🤣toa tu hela mkuu
Ha ha ha anaogopa sokoni atachapiwaHii ya kununua vitu mwenyewe itakuwa inawahusu sana wale wenye wivu na wake zao...
Ndagha mamapitasi waponie wose nkamu.
Nimecheka kwa nguvu kama naiona hiyo familia ya kuombana ela mpk mbele ya mgeni jmn aibuHela natoa mkuu. Maana sipendi kujipa stress kwa vitu vidogo vidogo.
Mkeo anakwambia "Kiberiti kimeisha mbele ya mgeni wako" .....
Halafu na wewe, unaanza kujibizana naye "Kiberiti nimenunua juzi tu, mnatumiaje viberiti hapa ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]Hela natoa mkuu. Maana sipendi kujipa stress kwa vitu vidogo vidogo.
Mkeo anakwambia "Kiberiti kimeisha mbele ya mgeni wako" .....
Halafu na wewe, unaanza kujibizana naye "Kiberiti nimenunua juzi tu, mnatumiaje viberiti hapa ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787]Hela natoa mkuu. Maana sipendi kujipa stress kwa vitu vidogo vidogo.
Mkeo anakwambia "Kiberiti kimeisha mbele ya mgeni wako" .....
Halafu na wewe, unaanza kujibizana naye "Kiberiti nimenunua juzi tu, mnatumiaje viberiti hapa ndani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo sasa hadi ela ya pedi tuombeIna maana mkeo umnunulie kila kitu usimuachie hela akitaka kiwembe anyoe akuombe au!?
Hapo ndo uone kama kuna umuhim w kuolew na wanaume siy wavulana wanaoanza maishaHapo sasa hadi ela ya pedi tuombe