Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

Yupi bora, mwanaume anayeacha pesa au anayenunua mahitaji yote mwenyewe?

Habari za saizi wakuu,

Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.

Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
Nipatie bajeti, sokoni Utaenda na binti wa kazi, au nitakusindikiza nikiwa na muda.

Lkn hela ya jikoni nikishakupa ndo nimekupa usinirudie na wala usinilishe vibaya; nitakwenda kula Buza

Dharura zinajulikana na zinazungumzika
 
Katika kukua kwangu, Mzee alikua ananichukua kwenda sokoni kuhemea kila alipokua anaweza! angehemea kila kitu, ila bado angeacha pesa ya kutosha ya matumizi, pia hakua anauliza sana vitu vinaishaje labda n.k, Nadhani ni kulingana na jamii tuliyoishi kua chakula kinapikwa kujumuisha na waliokuepo kama mgeni, ndugu, majirani, marafiki waliofika nyumbani kututembelea n.k hvyo hakukua na bajeti rasmi kua chakula kila siku kinapikwa kwa ajili yetu tu!

Mimi pia napenda familia yangu niende nayo hivihvi, haijalishi mke anafanya kazi au la!. ila hatakosa pesa ya matumizi(posho/pocket money) kisa tu nimeshanunua chakula! HAPANA KABISA.
 
Katika kukua kwangu, Mzee alikua ananichukua kwenda sokoni kuhemea kila alipokua anaweza! angehemea kila kitu, ila bado angeacha pesa ya kutosha ya matumizi, pia hakua anauliza sana vitu vinaishaje labda n.k, Nadhani ni kulingana na jamii tuliyoishi kua chakula kinapikwa kujumuisha na waliokuepo kama mgeni, ndugu, majirani, marafiki waliofika nyumbani kututembelea n.k hvyo hakukua na bajeti rasmi kua chakula kila siku kinapikwa kwa ajili yetu tu!

Mimi pia napenda familia yangu niende nayo hivihvi, haijalishi mke anafanya kazi au la!. ila hatakosa pesa ya matumizi(posho/pocket money) kisa tu nimeshanunua chakula! HAPANA KABISA.
Bravoo[emoji122][emoji122]
 
Katika kukua kwangu, Mzee alikua ananichukua kwenda sokoni kuhemea kila alipokua anaweza! angehemea kila kitu, ila bado angeacha pesa ya kutosha ya matumizi, pia hakua anauliza sana vitu vinaishaje labda n.k, Nadhani ni kulingana na jamii tuliyoishi kua chakula kinapikwa kujumuisha na waliokuepo kama mgeni, ndugu, majirani, marafiki waliofika nyumbani kututembelea n.k hvyo hakukua na bajeti rasmi kua chakula kila siku kinapikwa kwa ajili yetu tu!

Mimi pia napenda familia yangu niende nayo hivihvi, haijalishi mke anafanya kazi au la!. ila hatakosa pesa ya matumizi(posho/pocket money) kisa tu nimeshanunua chakula! HAPANA KABISA.
Bravoo[emoji122][emoji122]
 
Habari za saizi wakuu,

Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.

Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.


!
!
Mimi mwanaume lakini nafikiri ni vizuri kufanya vyote. Kuna vitu mwanaume anaweza kununua na kuna vitu anatakiwa kumuachia mkewe anunue. hivyo anamwachia pesa. Kwa mfano gari la familia mwanaume anafit zaidi kulikoni chakula cha sikukuu.Sijui kama nimeeleweka?
 
Mi nanunua mwenyewe..ye ni kupanga TU bajeti na kupika...nanunua mwenyewe aisee...Tena peke yangu ,Mara moja kwa mwezi...HELA NGUMU SANA
 
Back
Top Bottom