Hiv unaamfuatilia kelp wakati alivyokuwa anafanya insta live na mashabiki wake akaulizwa swali na shabiki umetengeneza beat ya joro akajibu yah ni moja ya producer niliyetengeneza beat na hiyo beat ikachukuliwa na Wizkid na Wizkid akaenda pia kufanya na Northboy sijajua hapo kwanini hapo kwanini hajawa recognized hii issue haina tofauti na ile issue ya Nana ya diamond producer ambaye amekuwa recognized ni Tudd Thomas wakati pia navy kenzo pia alishiriki kutengeneza.Joro produced by Nothboi...Kelp Hajahusikaa kabisaaaaa
Mbona kwenye sikomi pia kulikuwa na demu behind ya mond akicheza uku diamond amekaa kwenye kiti mbona ukusema Wizkid kachukua idea ya joro kwenye Sikomi?
Ukimkuta mtu hafuatilii mziki jaribu kumwambia Lkn sio Mm...Joro Produced by Nothboi tuHiv unaamfuatilia kelp wakati alivyokuwa anafanya insta live na mashabiki wake akaulizwa swali na shabiki umetengeneza beat ya joro akajibu yah ni moja ya producer niliyetengeneza beat na hiyo beat ikachukuliwa na Wizkid na Wizkid akaenda pia kufanya na Northboy sijajua hapo kwanini hapo kwanini hajawa recognized hii issue haina tofauti na ile issue ya Nana ya diamond producer ambaye amekuwa recognized ni Tudd Thomas wakati pia navy kenzo pia alishiriki kutengeneza.
Basi yaishe naona una kipaji Cha kubisha.Ukimkuta mtu hafuatilii mziki jaribu kumwambia Lkn sio Mm...Joro Produced by Nothboi tu
Huwa nabisha nachokifahamu tuBasi yaishe naona una kipaji Cha kubisha.
TUZO ZA MSANII BORA WA AFRICATuzo zipi mkuu?
Ukimkuta mtu hafuatilii mziki jaribu kumwambia Lkn sio Mm...Joro Produced by Nothboi tu
HIZO ZOTE WALIOTANGZWA WASHINDI SI NDO BORA SASA AMA TUNATAKA KUPATAJE WASANII BORAZipo nyingi mkuu, kuna Afrimma, Sound city MVPs, MTV....n.k
πππππππππ