Hivi kwanini Captain wa Real Madrid ndio lazima awe Captain wa Hispania?
Mkuu huyu mwamba alipokewa uwezo naDunga namba 8, mpaka jina akaitwa Captain Dunga, Of Elmaracanazo
Carlos Dunga, View attachment 1277325
Utamkumbuka kwa lipi?Granit Xhaka
Licha ya kuwa beki mzuri lakini pia alikuwa mahiri sana wa kufungaTupo pamoja Mkuu,nilikuwa namkubali sana hiki Kitasa.
Picha inanikumbusha soka lilipokuwa mchezo wa wanaume. Siku hizi limevamiwa na wavulana. Nyakati zimekwenda wapi?Nilikua namuamina Sana Patrick Viera pale ndani ya Arsenal ,,,,upande wa pili man u nilimkubali Sana Roy keane
Waulize wadau kwanza, Puyol ni lini aliwahi kuwa captain wa Spain?Sio kweli, Spain wanachukua World Cup South Africa captain alikuwa Carles Puyol. Mfumo wao ni kwamba, mtu ambaye amekaa kwenye timu kwa muda mrefu kuliko wote ndio anavaa kitambaa.
Captain, Leader, Legend.
The best playmarker I have seenKipenzi cha wana Roma. Mtu wa pili kwa umaarufu baada ya Papa ndani ya jiji la Rome
Ha ha haKipindi nipo mdogo Nilikuwa najua captain ni mmoja tu kwenye soka,naye in Captain Dunga!
Unazingua bro captain alikuwa iker CasillasSio kweli, Spain wanachukua World Cup South Africa captain alikuwa Carles Puyol. Mfumo wao ni kwamba, mtu ambaye amekaa kwenye timu kwa muda mrefu kuliko wote ndio anavaa kitambaa.
2010 captain alikuwa iker casilas mkuuWaulize wadau kwanza, Puyol ni lini aliwahi kuwa captain wa Spain?
Kuna mwamba hapo juu nilikuwa namuelewesha2010 captain alikuwa iker casilas mkuu
Walau ushahidi huu hapaSio kweli, Spain wanachukua World Cup South Africa captain alikuwa Carles Puyol. Mfumo wao ni kwamba, mtu ambaye amekaa kwenye timu kwa muda mrefu kuliko wote ndio anavaa kitambaa.
Unazingua bro captain alikuwa iker Casillas
My bad. Kweli capitani alikuwa Iker |
Kuwezesha Suisse kutwa ubingwa wa Euro U17, Kufanikisha Basel kutwa ubingwa wa Suisse, Arsenal FA Cup na kuwezesha Suisse kufika quarter final ya Euro 16 France.Utamkumbuka kwa lipi?
Granit Xhaka