PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 12,181
- 20,148
Hivi kwanini Captain wa Real Madrid ndio lazima awe Captain wa Hispania?
Sio kweli, Spain wanachukua World Cup South Africa captain alikuwa Carles Puyol. Mfumo wao ni kwamba, mtu ambaye amekaa kwenye timu kwa muda mrefu kuliko wote ndio anavaa kitambaa.